Marlex Jr
JF-Expert Member
- Nov 6, 2015
- 1,823
- 2,425
Kabisa hii kitu iko automatic tuTupo njia moja nikipigiwa simu naona kero sana (sipendi pia kupiga simu) sijui nina tatizo gani ila SMS natoa ushirikiano vizuri
Kabisa hii kitu iko automatic tuTupo njia moja nikipigiwa simu naona kero sana (sipendi pia kupiga simu) sijui nina tatizo gani ila SMS natoa ushirikiano vizuri
Mimi bana baada ya kugraduate kuna siku nilipigiwa simu na namba ngeni kama mara mbili nkapotezea.. baada ya hapo nikatumiwa message inayosema "This is UDSM calling.."
kila nkipiga ile namba haipokelewi kila nikipiga waapiii.. dah tumbo lilichafuka ghafla mana nilishaona nimebugi.
sasa sijui walikua wanataka waniajiri au wamenitaftia muajiri. siwezi kusahau ile siku.
Inastajabisha mkuuEndeleeni kutopokea Simu kisa namba ngeni mtapishana na magari ya mishahara.
Kwani MTU ukishapokea Simu yake akianza mazinguzi si unakata kwani lazim umsikilize kila mtu???
Na kama je ni tatizo ambalo unahitajika wewe kulisolve???
Mimi naona ni ushamba,kujiona,dharau,kiburii,,acheni viburiii ipo siku mtarudi udongoni mkawe msosi wa finye finye!!
Unaona sasa mpaka leo Hujajua walikuwa wanataka kukwambia nini?Mimi bana baada ya kugraduate kuna siku nilipigiwa simu na namba ngeni kama mara mbili nkapotezea.. baada ya hapo nikatumiwa message inayosema "This is UDSM calling.."
kila nkipiga ile namba haipokelewi kila nikipiga waapiii.. dah tumbo lilichafuka ghafla mana nilishaona nimebugi.
sasa sijui walikua wanataka waniajiri au wamenitaftia muajiri. siwezi kusahau ile siku.
Napokea nasikiliza utoe malezo kwanza wewe, na usipoongea tutaendelea kuhema hapo mpaka dakika zitakushia utakata.











Nadhani utafika muda nitaanza kupokea ila kwa sasa hapana kwa kweli.Siku utapigiwa simu ya uteuzi uta igniore
Mimi huwa sikati.Kusema kweli ata Mimi sio mpenzi wa namba ngeni madeni plus michango isiyo na kichwa Wala mguu.
Me napenda kukata na kumwambia mhusika anitumie mesage.
Ona watu wanavyotoka povu.Maisha hayana kanuni maalum mkuu
Aisee 90%ya app kwenye google store ni magumashi,,zingine haziapply huku Tanganyika,labda uwe europeTechnology zipo why mtu uhangaike?
Caller id app inasaidia kujua Nani anakupigia..
Utajua Tu hii nipokee au hii sipokei
Yeye ndio mwenye shida,,akiona hapokelewi,aache message kujitambulisha na pia shida yakeMtumie ujumbe we nani naamini atakusikiliza....tuache visingizio visivyo na maana
Wamedhurikaje tujuzemimi namba ngeni ikipiga hua naitext ijitambulishe kwanza maana kupitia namba ngeni wengi wamedhurika.
True storyMimi huwa sikati.
Naamini mtu Kama ana Shida kweli atanitafuta kwa message baada ya kuona simu haipokelewi.
Asiponitafuta kwa msg ndo imetoka hiyo.
Sina madeni,Sina ishu za kuombwa michango,Sina wapenzi.
Ni vile tu sipendi usumbufu.
Sent using Jamii Forums mobile app
nshapoa aseeUlipishana na gari ya helaa aiseh pole




.Mimi hii ndio principle yangu namba ngeni huwa sipokei kabisa.
Huu utaratibu naupenda na siuachi kamwe.
Najiambiaga kama una la muhimu sana kuniambia utanitumia message.
Na kama hujatuma message najua huyu hakuwa na jambo la msingi ndio maana hajanitumia message.
Ila kwa ujumla kabisa sipendi kupokea simu kabisa, kuna siku ntapokea na tutaongea vizuri ila kuna siku sipendi kupokea kabisa hata kama naijua namba yako.
Cha ajabu ukituma texts tutachati kabisa na nitaanza kutunga sababu za kukwambia kwanini sikupokea simu yako.
Japo ni tabia ya ajabu kabisa yaani unaona kabisa simu inaita na jina unaliona lakini badala ya kupokea unaanza kutunga uongo wa kudanganya kwanini hukupokea.
Na ikinilazimu sana nitakupigia huku nikiomba kimoyomoyo usipokeee yaani ikiita tu mara 2 nakata, kuweka ushahidi kuwa hata mimi nilikupigia.
Ila kuna watu wanaudhi sana wanaweza kukupigia simu saa 12 asubuhi alafu hawana hata cha maana kukwambia.
Mimi naanza kupokea simu kuanzia saa tatu asubuhi (9:00AM) kwa siku za kazi na saa tano(11:00AM)siku za WeekEnd na Public Holiday.
Sio dharau wala kiburi ila ndio Principle yangu tu japo najua kuna wakati nakosea sana kufanya hivi, ila kwenye maisha lazima uwe na Principle zako na uweze kuzisimamia.


