Tabia ya kufumania, ushauri wa bure kwa wanaume

Tabia ya kufumania, ushauri wa bure kwa wanaume

Hivi inawezekana kweli mwanaume uletewe taarifa kwamba mkeo anabanduliwa mahala fulani na njemba halafu usiende kupata uthibitisho?

Kumbuka kinachotokea baada ya kumkuta mwenza wako akikusaliti huwa ni ugonvi.na ugonvi ndio huiamsha jamii na hapo ndipo technology huchukuwa nafasi kupitia cm zetu za smartphone.sio kwamba wahusika hupenda mambo yao yaende magazetini au kwenye mitandao ya jamii la hasha.
labda iundwe sheria itakayo zuia magazet na mitandao kutoa picha za hii mikasa vinginevyo haiwezekani mama.
 
Kama hutaki hayo yote kwanini utembee na mke au mme wa mtu?
Mnapaswa pigwa risasi papo hapo ili yaishe kabisa
 
mazungumzo ni njia nzuri. miss chaga heshima muhimu sana. tuache tabia ambazo hazipendi mbele ya jamii:thumbup:
na si kila mazungumzo yaishe vizuri ila kumfunia mwenzio kwa njia kama hizi za kutuma watu hata wewe mfumanizi unakuwa umedhalilika
 
Mi nadhan ni njia sahihi kabisa
Adhalilike ulivyodhalilika,
Lakini fumaniz lisiishe bila kumfira mgoni kwa kiwango kikubwa sana roho inapona ukimfira mgoni mbele ya mke wako
Kama mke ameamua kwa akili zake mbona baadae anapiga magoti na kuomba msamaha kwa vilio arudishwe ndani?

Ikija kunitokea mm lazima niwaachie wote wawili makovu mioyoni mwao kama wanavyoniachia mm
Na njia pekee ni kumfumania ukiwa na watu wako mnamfira mgoni na mke na usambaza mitandaoni kisha unatengana na mke
Tuone sasa maumivu ya nani yatakua makubwa zaidi ya mwinge

mkuu mimi sijui huu mchezo siyo sahihi for future
 
Halafu mtoa post inaonekana imeshakutokea ndiomana unaongea kirahisi sana utafukiri jambo lenyewe ni rahisi kiivyo.
kwanza wewe umeolewa,au ndio umeachika baada ya kufumaniwa?
Na kama mke sio mali yangu,kwanini nimelipa mahali,kwanini tumefungishwa ndoa?

na unaposema ukimfumania mwenzi wako unakuwa umemdhalilisha,je yeye anapokuwa anatembea nje ya ndoa huku jamii inayomzunguka ikishuhudia anakuwa hanidhalilisha mimi na watoto wetu?
na kama ameamua kunidharau then kwanini anifiche,c anichane live ili kila mmoja aanze kivyake na sio kuja kuleteana maradhi?

Usijenge hoja nyepesi kwenye jambo gumu kama hilo.
 
Wewe hujawahi gonga nje????tuanzie hapo kwanza
Hakuna kitu kinachouma kama kugongewa mke. Mimi nilishajiwekea utaratibu wangu kuwa siku mke wangu nikimfumania basi hiyo ndio siku atakayorudi kwa wazazi wake.
Mwanamke akishakusaliti tayari wewe huna thamani kwake, suala la kumtendea ubaya mgoni wala halisaidii. Mapenzi hayalazimishwi mtu kama kaamua kugongwa nje hata ufanye nini atagongwa tu
 
Mke wako akiamua kwa hiari yake bila kulazimishwa au kubakwa tafadhali sana mpe nafasi kwani kuna sababu nyuma ya pazia,wanawake ni watu wenye akili sana japo hazionekani waziwazi, naomba uelewe mke wako siyo mali yako hata kidogo wala siyo mtumwa wako bali ni msaidizi wako na hakuna lingine,
kwa taarifa yako tuu ni kwamba mke wako akiamua kutoka nje ya ndoa AMEKUDHARAU sana,,,,
anapoamua kutoka nje ya ndoa siyo kwamba hajui bali anajua anachokifanya na ameamua hata kama utamfumania mara mia na kama anataka atatoka tena na tena

rosemarie hapo umenena vema sana, wewe ni muzuri na intelijenti kwa sana, BIG UP nakupenda saaana!
 
na si kila mazungumzo yaishe vizuri ila kumfunia mwenzio kwa njia kama hizi za kutuma watu hata wewe mfumanizi unakuwa umedhalilika

ndo maana watu wanaamua kufumania tu. cheating is a choice. madhara yake ni makubwa
 
Huyo jamaa Aldina Hashim alikuwagakipa wa mtibwa na AFC arusha,duh noma sana
 
Mimi nakubaliana na mtoa hoja... wewe badala ya kufany akazi kwa bidii uongeze kipato unabaki kumvia mkeo ili umfumanie. Binafsi naona kama ni kuwa na akili finyu. Kwani hapa dunian kuna mwanamke huyo huyo tu,mpak a wewe uanze kujidhalilisha.Leo unamfumania mkeo hiyo aibu ni ya nani?
 
Mi nadhan ni njia sahihi kabisa
Adhalilike ulivyodhalilika,
Lakini fumaniz lisiishe bila kumfira mgoni kwa kiwango kikubwa sana roho inapona ukimfira mgoni mbele ya mke wako
Kama mke ameamua kwa akili zake mbona baadae anapiga magoti na kuomba msamaha kwa vilio arudishwe ndani?

Ikija kunitokea mm lazima niwaachie wote wawili makovu mioyoni mwao kama wanavyoniachia mm
Na njia pekee ni kumfumania ukiwa na watu wako mnamfira mgoni na mke na usambaza mitandaoni kisha unatengana na mke
Tuone sasa maumivu ya nani yatakua makubwa zaidi ya mwinge



Mkuu nakubaliana na wewe kwa 100% - hata Mimi nitatui ambinu hii.
 
sawa huoni kama mkeo kutoka nje inakuwa na maans ya kuwa wewe ni mzembe
Inategemea nina wasiwasi tunajadili kinadharia maana kama mwanaume hajaoa anadhani akioa k ni yake 24/7 ingawa uhalisia ukioa k unaisikia kwa jirani ndo maana machangu kibao mjini. Unaweza usiwe mzembe ila ukakatishwa tamaa na mkeo kiasi isisimame (uhanithi wa kimawazo). Ila ukienda nje ukakutanana na shangingi akakuchezea ukachapa 6 kwa mpigo. Rudi kwa mkeo hakuna kitu hapo anachepuka. Si unaona kama mke na mume wako katika gari moja mmoja akiendesha mwingine ni serious na anaangalia pembeni.
 
Na kama mke sio mali yangu,kwanini nimelipa mahali,kwanini tumefungishwa ndoa?

1. Kutoa Mahali si kununua mwanamke
2. kufunga Ndoa haina uhusiano na kutopiga mchepuko, ndo maana ktk kiapo cha ndoa sijaona kiapo cha kutochepuka
3. Kumfumania mke wako na kumdhalilisha yeye na mgoni, huo ni UJIMAAA! this is a 21st Century!
 
Tatzo kuna watu wanaakili kama fisi yaan unigongee mke haraf nikuache hv mnajua uchungu wa kugongewa mke jmn kama hujui kaa kimyaa nenda kalale
 
Inategemea nina wasiwasi tunajadili kinadharia maana kama mwanaume hajaoa anadhani akioa k ni yake 24/7 ingawa uhalisia ukioa k unaisikia kwa jirani ndo maana machangu kibao mjini. Unaweza usiwe mzembe ila ukakatishwa tamaa na mkeo kiasi isisimame (uhanithi wa kimawazo). Ila ukienda nje ukakutanana na shangingi akakuchezea ukachapa 6 kwa mpigo. Rudi kwa mkeo hakuna kitu hapo anachepuka. Si unaona kama mke na mume wako katika gari moja mmoja akiendesha mwingine ni serious na anaangalia pembeni.
swala la ndoa silielewi aisee
 
Tatzo kuna watu wanaakili kama fisi yaan unigongee mke haraf nikuache hv mnajua uchungu wa kugongewa mke jmn kama hujui kaa kimyaa nenda kalale
mbona unagawa dushe.. ila najue mke akichepuka kazi sana
 
Mimi nikufumanie halafu nikuite tukae chini tuongee....huu ni upuuzi wa hali ya juu yaani unidhalilishe halafu nikuchekee

kama unataka kuchepuka niambie tuachane na sio kuleteana magonjwa kipumbavu
 
Back
Top Bottom