Ekotike
JF-Expert Member
- Jan 6, 2016
- 747
- 247
Mpododo muhimuBabu weee nipumzishe,wewe hilo ta** tafuta mwenye nalo.....
Shemeji yako kadata na mimi tayari na hasikii wala haambiwi.
Sasa kama yeye karidhika nami who are you?
I don't care.....
Mpododo muhimuBabu weee nipumzishe,wewe hilo ta** tafuta mwenye nalo.....
Shemeji yako kadata na mimi tayari na hasikii wala haambiwi.
Sasa kama yeye karidhika nami who are you?
I don't care.....
Hapa Niko sokoni natafutaKanyetuke
Wachagga nao ni nini kwani😀😀😀😀😎
Acha kutunyima raha...tusiangalie kwanini?wkt mwngne ni refuu tunachomekea kwa chupi au kwa braaa.... sasa ni kwa rahaa zetu na ili usikereke Usiwee unaangalia tukifanya hivyooo...
Usichokoze nyuki na kutafuta makubwa ndugu.Wachagga nao ni nini kwani
Nifah umeitwa huku.Liwepo Sasa Na Je Kama Halipo Kama Nifah?
Wazungu hao wanakuja.Kanyetuke
Waje tu watakutana na wachina hukuWazungu hao wanakuja.
Duh!ina maana huko nyuma anakuwa kama moja?Bora ukute ana kiwowowo akiwa flat screen utadhani dera limetundikwa
Flat screen ndiyo nini?Bora ukute ana kiwowowo akiwa flat screen utadhani dera limetundikwa
TV ambayo haina kisogoFlat screen ndiyo nini?
Kama mche wa sabuniDuh!ina maana huko nyuma anakuwa kama moja?
Sio kama table mat?Kama mche wa sabuni