Tabia ya kuaga maiti ni ya hatari sana

Tabia ya kuaga maiti ni ya hatari sana

I have read this somewhere..

Umetushika kidogo Hiyo kufukua maiti na kuzivisha nguo na kufanya sherehe sio Thailand..

Ila nchi nimesahau..
Sisi kwetu Thailand mtu akifa tunaweza kaa na maiti hata miaka mitatu kabla ya kuizika na kila mwaka kuna sherehe ya kuwafukua marehemu na kuwavisha nguo mpya
 
I have read this somewhere..

Umetushika kidogo Hiyo kufukua maiti na kuzivisha nguo na kufanya sherehe sio Thailand..

Ila nchi nimesahau..
Kama siyo Thailand basi ni Indonesia na siyo nchi nzima ni kabila flani ila as far as I remember ni thailand maana indonesia zaidi ya 95% ni waislam na wako strict na sheria za dini.
Na Brazil wana siku wanaiita Day of the dead
 
Kweli kabisa hata mimi sijui utaratibu wa kuaga maiti, umetokea wapi
 
Dah....huwa nashangaa sana kuwaona watu wakiogopa maiti sana kuliko MTU aliye hai[emoji87] [emoji41] [emoji13]
 
Kama siyo Thailand basi ni Indonesia na siyo nchi nzima ni kabila flani ila as far as I remember ni thailand maana indonesia zaidi ya 95% ni waislam na wako strict na sheria za dini.
Na Brazil wana siku wanaiita Day of the dead
Day of the dead sio Mexico kweli
 
Na kuzika na kaubabo kamoja na sanda badala ya jeneza kusha kufukia na majani
Hii tabia ya watu wale inanikera si mngezikia tu jeneza ?
 
I have read this somewhere..

Umetushika kidogo Hiyo kufukua maiti na kuzivisha nguo na kufanya sherehe sio Thailand..

Ila nchi nimesahau..
Hii ilikua BBC Swahili mkuu, na kama sikosei nchi ilikua Indonesia kitu kama hicho.
 
Mwanzo nilikua napingasana hili suala la kuaga na nilikua muogasana to be honest, lakini baada ya kukua na kujionea maisha kiukweli kwangu mimi yote kheri uage usiage kikubwa hakikisha unaiskiliza nafsi yako unapokua msibani usije chukua maamuzi kwa kufuata mkumbo
 
MANASWARA WANAFANYA HIVO ILI WAPATE HELA ZA TUNZO WAO WANAIPAMBA LUGHA NAKUIITA RAMBIRAMBI
HUWEZI MFANYA NDUNGUYO MAITI AKAWA MNADA MBELE YA KADAMNASI KILA ANAEPITA AMUONE,,Atiii KISA WANAMUAGA,,BADO ANAVISHWA HADI SUTI KAMA NI WA KIKE ANAVISHWA VELI
MMMHHHH,,,,,kumfanya mwenzio ATM inataka MOYO SANA[emoji1321]

Haya wenye POVU KARIBUNI,,lakini UKWELI NDIO HUO[emoji1321]
unajua maana ya rambi rambi? anzia hapo kwanza
 
Labdaa kweli mkuu Ila alikunja sura harari
Maiti haitoi jasho, kile unacho ona kama jasho ni ule ubaridi au unyevu nyevu wa barafu anapokuwa kahifadhiwa chumba cha kuhifadhia maiti katika friji za maiti.
 
I have read this somewhere..

Umetushika kidogo Hiyo kufukua maiti na kuzivisha nguo na kufanya sherehe sio Thailand..

Ila nchi nimesahau..
Uko Correct Some where Nilisoma Too
 
Nimekumbuka Its mexico mkuu..Ni kakabila tu sio watu wote..
Kama siyo Thailand basi ni Indonesia na siyo nchi nzima ni kabila flani ila as far as I remember ni thailand maana indonesia zaidi ya 95% ni waislam na wako strict na sheria za dini.
Na Brazil wana siku wanaiita Day of the dead
 
Back
Top Bottom