Tabia mbalimbali za watu warefu

Just thinking, kwa hiyo kwa urefu wa edward Lowassa, dr slaa, membe.....:becky:
 

Mdau inaonekana we mkali sana kwenye yale mambo yetu.. Dah! Hongera sana. Ila nasikia nyie watu wafupi mna vibamia , vipi unapenda kuongelea nn kihusu hilo?
 
Mie Nina kimo cha wastani. Mademu zangu wote wanakuwaga wamenizidi urefu. Hawana matatizo kivile ukilinganisha na wanawake wafupi. Mara mbili nimewahi kujaribu kutoka na andunje Lakini walikuwa wanacomplicate sana mambo. Hawajiamini. Demu ngongoti ndo mpango Mzima.
 
warefu ni watamu...............................
 
Huwa nawahurumia wafupi au viomoro kwenye daladala wanakula hewa chafu tu na pia hata moshi wa magari na vumbi ni rahisi kwao ndy maana wengi hawaishi mafua. Pia watu wafupi hovyo sana kwa sifa. Ukiwa mrefu dah so handsome hata sura ikiwa hovyo!!
 

wana hasira na si waongeaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…