Tabia hii ya madaktari

Tabia hii ya madaktari

Hivi kwa nini hawa watu(sio wote) wanapenda sana wanawake na pombe,hii kitu inatokana na nini, binafsi nipo medical school namshukuru mungu kwenye alcohol lakini kwenye hao viumbe huniambii kitu, hata nikicheki jamaa walio kazini na wa madarasa ya mbele ni noma,inatokana na nini hii kitu wadau? msaada wa mawazo kuhusu sababu na jinsi ya kujiepusha au kuacha binafsi sijawa addicted kivilee!!!!

Rutashubanyuma jina tu linajieleza endelea ingawa wasema haupo adicted c kweli wewe tayari kabisa
 
pole sana,wengine wanalazimisha kuchungulia nanihii wakati ugonjwa uliokupeleka hosp hauhusiani na nanihiiii.......ni kubadilisha mfumo ktk ubongo wako na kumtanguliza Mungu ktk mienendo yako hakika hofu ya Mungu itakuokoa
Inahitaji moyo manake huku rotation mi nimechoka vumilia hii wodi ya wanawake ni noma,inakuwaje upo wodini kanga moja full chachandu,labda kama padri ndio aweza vumilia
 
Rutashubanyuma jina tu linajieleza endelea ingawa wasema haupo adicted c kweli wewe tayari kabisa
ahsante mkuu kwa ushauri wako ingawa hauna mantiki
 
coz that is the party of the job, doctors have to constantly study the human anatomy.
 
Inahitaji moyo manake huku rotation mi nimechoka vumilia hii wodi ya wanawake ni noma,inakuwaje upo wodini kanga moja full chachandu,labda kama padri ndio aweza vumilia

heeee!!!!! We mwana weee!!! Taratibu...... Usije ukatubakia wagonjwa wetu kwa tamaa zako.!!!!
 
kivipi mkuu fafanua kama msomi,umetumia criteria zipi kuconclude hivyo....

shule yako rahisi sana ndo maana yanakujia na mawazo ya kujitafakari kwamba wewe ni mwasherati na unaanza kuwachambua na wengine
 
Mnachungulia sana viumbe vya kike, mara mmempasua chura, mara mmemzalisha panya madai ndo practicol, mkirudi kujikumbushia topic ya reproduction kwenye mavitabu ndio kabisaaa mnatafuta pa kwenda kuperform. (hii kwa nyie madenti).. Tabia inakua halafu.
 
ushauari wako mkuu unahitajika na sio kuniponda,hata hivyo hii tabia si ya wote ni ya wengi,mi mwenyewe naichukia!!!!

uzinzi, ulevi sio vitu vinavyoenda na group ya watu au kurithi. ni vile tu wewe unavyojiendekeza kuwa hivyo. nimesoma darasa la watu zaidi ya 100 na vitombi walikuwa hata kumi haqwafiki, sasa utasemaje ni tabia ya wengi? kuna utofauti gani na wanaosoma sociology? nimeishi hostel zenye mchanganyiko wa facult zote lakini nilikuwa naona watu wa medicine wapo taratibu sana na mambo ya wanawake. ukifiria kuwa mzinzi au mlevi ni lazima uwe hivy0!
 
hapo kwenye bold unakubali rohoni kwamba ni nzuri........................🙂

ha, ha haaa. am sorry to say this. k ni mbaya!! nahisi ndo maana wanyama wengine wanafanya for reproduction only. yawezekana hata babu wa zamani walivyokuwa wanatembea uchi walikuwa hawatamaniani.
 
heeee!!!!! We mwana weee!!! Taratibu...... Usije ukatubakia wagonjwa wetu kwa tamaa zako.!!!!

sijui ni wagonjwa gani huwa wanakuja na chachandu hospitali. labda kama ameenda kuwatega madaktari au kapatwa na emergence akiwa kwenye mtoko wake
 
Inahitaji moyo manake huku rotation mi nimechoka vumilia hii wodi ya wanawake ni noma,inakuwaje upo wodini kanga moja full chachandu,labda kama padri ndio aweza vumilia
unaona ujinga unaouandika?
 
Hahahahahaha TCU imeleta balaa.

Hivi vitoto ndio vikinyonywa vinakunywa sumu!
kuna wengine walitakiwa wakasomee vitu vingine wakapelekwa medicine. ona huyu natamani hata wamama walio labour! sijui kama tutafika.
 
kuna wengine walitakiwa wakasomee vitu vingine wakapelekwa medicine. ona huyu natamani hata wamama walio labour! sijui kama tutafika.

ila jf bana..! Uskute huyu mtoa mada ni mfanyabiashara wa kariakoo...
 
ki-ukweli sikuwa na tabia hiyo ila tulipokuwa mwaka wa kwanza kuna lecturer mmoja alitufundisha jinsi ya kumjua bikra,anayehitaji kugegedwa(hot period) na aliyetoa mimba kwa kumuangalia nikajikuta naitumia hiyo nafasi tabia ambayo imenicost licha ya kujitahidi kupiga zoezi la kufa mtu kama wadau wengi wanavyoshauri humu

hebu toa hayo maujanja, angalau la kujua binti aliyetoa mimba.
 
Ujinga tu unakusumbua. Unatamani wagonjwa!?!
Inahitaji moyo manake huku rotation mi nimechoka vumilia hii wodi ya wanawake ni noma,inakuwaje upo wodini kanga moja full chachandu,labda kama padri ndio aweza vumilia
 
Hayo ya wanawake ni hatua tu mnayopitia maishani mwenu katika ku enjoy life, kumbuka mmetoka chini ya wazazi na sasa mpo free hii inachangia pia mawazo yenu kutamani tamani kama vile mmefunguliwa. Kwa pombe pia ni hayo hayo, kwa mie naona bora kupitia maisha hayo kidogoukiwa chuo sababu baadae mtayaacha kiurahisi na kuona kawaida tu.

Ila kwa dunia ya sasa na magonjwa mmmh, jitahidi kupunguza labda kuwa na msichana mmoja unayempenda msaidiane kupitisha muda mkiwa chuoni, na itakusaidia kutocheza nje nje namna hiyo.

Pia unaweza tafuta mambo ya kufanya, labda kama kupenda kwenda kuangalia/kucheza mipira, prayer meetings, kusali misa ya kwanza kila Sun (hii itakupa wewe uwe poa Sat na labda kulala mapema).

Nunua games zile za kucheza eeh ma xbox etc ukiwa unaziwaza hizo unasahau kuboreka (vizuri ukiwa na binti mmoja) kutoa kitoweo kumbuka muhimu pia. Game unaweza shindana na wanaume wenzako au binti yako mnasukuma muda.

Pia juu ya yote usisahau kusali.
 
Hivi kwa nini hawa watu(sio wote) wanapenda sana wanawake na pombe,hii kitu inatokana na nini, binafsi nipo medical school namshukuru mungu kwenye alcohol lakini kwenye hao viumbe huniambii kitu, hata nikicheki jamaa walio kazini na wa madarasa ya mbele ni noma,inatokana na nini hii kitu wadau? msaada wa mawazo kuhusu sababu na jinsi ya kujiepusha au kuacha binafsi sijawa addicted kivilee!!!!
Kwani madaktari nao si binadamu kama wengine na ni rijali. Kuhusu kupiga ulabu hiyo ni personal preference ya mtu
 
Mtamsema saana lakini age factor mkumbuke,yuko kwnye foolish so ni wakati wake huu,ili mradi tu asivunje ethics!!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom