TEAM VIBAJAJI
JF-Expert Member
- Oct 9, 2016
- 1,858
- 2,301
Hahahah hongera kwa kweli mim siwez Nina aibu sana kiasi kwamba hiyo nyama yenyewe nitachukuwa nikiwa natetemeka
Kuna sehem moja nilienda uswahilin nikakaribishwa msosi wakaniambia niwe wa kwanza kujipakulia ile nimefikia hotpot LA mchuz nakuta kasamaki kamoja![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
ilinibid nipakue mchuz tu
Hapo ndipo wenyeji wetu huwa mnayumba kunanyumba moja nilikaribishwa kwa mbwembwe nikawa nazingua dk yamwisho nikajisemea nisije nikaonekana nimewadharau ngoja niingie basi wakati wakukata ukali nikapewa kisu wa kwanza ile kufunuliwa poti nikakuta kilichomo ndani hakiakisi watu tulio lizunguka hilo poti lakini kiukweli ilibidi wajute tu maana baada ya mimi kukata niliona wengine wakiondoka kuelekea nje

