miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
Au Anaweka mdomo kana tununuuuKunywa chai kwa kelele... Mtu anakuwa Kama anapiga tarumbeta. Inanikera.
Au Anaweka mdomo kana tununuuuKunywa chai kwa kelele... Mtu anakuwa Kama anapiga tarumbeta. Inanikera.
Yaani huyo ni wa kumuombea hilo "PEPO " la kuchunguza wageni litoke, anaweza mwambia haya hata mzazi wake alokuja kumjulia hali. Yaani "NYAMA" na "SOFA" vyote chakula vya panya ndo anamuaibisha mgeni jukwaani huku.Dalili za roho mbaya hizo
Mmasai unatolea macho nyama ya kuku????? Umeanza liniSasa wewe kwanini ukiweke hicho kipande mbali..? Ni ili ukikute wewe au?![]()
Ili nisikereke naondokaga sebuleni hata Kama ni kwangu.Au Anaweka mdomo kana tununuuu
Ha ha ha kuna rafik yangu mpaka nimempa jina tununuuu.. hawezi subiri chai ipoe anapambana nayo na kutoa milio ya ajabu huku shape ya mdomo ikibaki inachekeshaIli nisikereke naondokaga sebuleni hata Kama ni kwangu.
Mgeni umemkaribisha ndan anaingia, ata kabla hajaketi kwny kochi mimacho kodoooo kuangalia vilivyomo ndani..... Wananiboaga sana wageni wa aina io asee!Habari zenu wa Jf
Kuna tabia ambazo wageni wamekua wakifanya masebuleni mwetu na sisi kiukweli hatuzipendi ila tunashindwa kuwaambia coz ni mgeni unaogopa kumuuzi.
Baadhi ya tabia zinazonikera mimi ni kama ifuatavyo
1. Mgeni kupandisha miguu juu ya kochi, inakera, kama unajisikia kukunja miguu yako si bora ukae chini basi uikunje vizuri. Kuliko kupandisha milonjo yako kochini.
2. Wakati wa chakula labda umekaanga kuku umeweka kwenye bakuli self service unamkaribisha mgeni badala achukue vipisi asepe yeye anaanza kuchakura chakura yani atafukua mpaka kipande cha chini sijui ndio anatafuta kikubwa zaidi inaboa. We ukikaribisjwa fika chukua sepa.
Je wewe ni tabia gani hupendi kutoka kwa mgeni wako? Funguka hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mgeni wa namna hiyo usipate tabu,, Mpe maji asafishe miguu yake, Viatu vyake weka Juani, kama linaangaza vema,wageni wengine wanatema miguu akivua viatu yaani mpaka kero.... bora hata waingiage na viatu
UwiiiiiiiiiiiiiiHapo ndipo wenyeji wetu huwa mnayumba kunanyumba moja nilikaribishwa kwa mbwembwe nikawa nazingua dk yamwisho nikajisemea nisije nikaonekana nimewadharau ngoja niingie basi wakati wakukata ukali nikapewa kisu wa kwanza ile kufunuliwa poti nikakuta kilichomo ndani hakiakisi watu tulio lizunguka hilo poti lakini kiukweli ilibidi wajute tu maana baada ya mimi kukata niliona wengine wakiondoka kuelekea nje













huo ulaji wa kutia kijiugali kijidogo kwenye hotpot halaf walaji wengi siupendi min huo ni uchoyo 


Unakaribishwa sehemu, mwenyeji wako anakuacha sebuleni na Tv yenye Tamthilia za wale Jamaa au Bongo Movie, yeye yupo busy kukuandalia ulichofuata au lah, Chakula huko jikoni, Utakuta nimezima Tv mkuu!!Kuwa remote controller

Kunywa chai kwa kelele... Mtu anakuwa Kama anapiga tarumbeta. Inanikera.










Ha ha ha kuna rafik yangu mpaka nimempa jina tununuuu.. hawezi subiri chai ipoe anapambana nayo na kutoa milio ya ajabu huku shape ya mdomo ikibaki inachekesha














miss chaga umetumwa 




Mgeni au jirani kuingia sebuleni kupiga stori Mara mwanae kuibuka gafla alafu kachafu vumbi au matope alafu mamake kuanza kumnyanyua na kumweka kwenye kochi lenye vitambaa vyeupe!! Nawapenda watoto ila hapa wananikeraga!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu we nomaUnakuta mtu firigisi au paja kalificha mbali kabisa chini ya hotipoti au sahani kubwa, na mimi bila kula hivyo vitu kwenye kuku ni kama sijala, kwa nini nisikitafte hadi nikipate, na kama hakipo nauliza kabisa mbona sioni firigisi???!! Hahaha.