Tabia gani usiyoipenda sebuleni?

Tabia gani usiyoipenda sebuleni?

Kuingia kwangu hovyo hovyo unakuta mtu anakuja sebuleni ghafla tu ashafungua gril ya mlango hee nachefukwa sana nilimtimua mmoja sipendi mazoea ya kipuuzi hivyo jee kama nipo na mpenzi wangu jee

Sent from my GT-S7301 using JamiiForums mobile app
Mmmh
 
Mi napenda kweli a guest who feels at home. But within limits. Lol. Grab your glass of water, flop some BBQ but not walk around naked, get me to watch that and think he can flog my ass without my husband watching.

Mnhmmm#KaruceeReloaded
 
Sasa wewe kwanini ukiweke hicho kipande mbali..? Ni ili ukikute wewe au?
Aahh deal umeling'amua..hizo ni type za uchoyo..raha ya mgeni apige msosi akasimulie..yaani hata baraka za kupata misosi mingi inakuja tuu ila sio unaweka shingo na vipapatio na miguu ya kuku alafu kidali, na vihips una vificha kwa chin
 
Sipendi mgen msengenyaji,anaulizia bei ya vitu,mchunguzaji,nk
 
Maisha yanavyochanganya kwa kweli sina muda wa kukaa kuwa stressed eti mgeni kaja kaeka miguu au kujilaza kwenye kochi langu kha! Au kala nyama ya chini kwenye bakuli au kabadili channel kwenye tv.. afanye anachotaka hata akitaka kupika poa tu namkabidhi vifaa. Limit yangu ni bedroom nakolala kama sijakwambia ingia usitie mguu, au wale majirani wa kuomba omba vitu hapana kwa kweli nitakufukuza na sura kavu.
Kwingineko na mengineyo let mgeni be
free. Life is too short to be upset na vitu km miguu kwenye kochi. Unless mmenunua makochi wajiachie nzi na mbu.
 
Maisha yanavyochanganya kwa kweli sina muda wa kukaa kuwa stressed eti mgeni kaja kaeka miguu au kujilaza kwenye kochi langu kha! Au kala nyama ya chini kwenye bakuli au kabadili channel kwenye tv.. afanye anachotaka hata akitaka kupika poa tu namkabidhi vifaa. Limit yangu ni bedroom nakolala kama sijakwambia ingia usitie mguu, au wale majirani wa kuomba omba vitu hapana kwa kweli nitakufukuza na sura kavu.
Kwingineko na mengineyo let mgeni be
free. Life is too short to be upset na vitu km miguu kwenye kochi. Unless mmenunua makochi wajiachie nzi na mbu.

Nayule anaeingia toilet anakata gogo lake alafu analiacha linadundadunda kwenye sink huyo vipi?
 
Tena kama nimimi ili nisipate taabu nakamata hako kama nikasifuria au kiji hotpot navirusha kanakwamba napeta mchele zile zachini zote zinahamia juu alafu ndonakufungia show
We kiboko ila jiandae kutetwa pembeni
Utasikia jaman mlimuona yule mgeni yaan kakamata kabisa bakuli LA nyama analipeta hata aibu hana
Ati alikuwa anatafuta paja
utakuwa gumzo
 
Izo roho za kimasikini na vinyumba vyenu kama mabox ya viberiti...ndio maana mnalalamika wakija wageni...amjui kuwa wageni ni baraka ndio maana watanzania mna roho mbaya kama unachukia wageni kisa kakalia kochi sijui kala mboga duuu hayo mapepo yawatoke

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu unajua kunawageni wengine tulifanyiwaga upasuaji mdogo wa kutolewa mishipa ya aibu
Hahahah hongera kwa kweli mim siwez Nina aibu sana kiasi kwamba hiyo nyama yenyewe nitachukuwa nikiwa natetemeka
Kuna sehem moja nilienda uswahilin nikakaribishwa msosi wakaniambia niwe wa kwanza kujipakulia ile nimefikia hotpot LA mchuz nakuta kasamaki kamoja ilinibid nipakue mchuz tu
 
Back
Top Bottom