miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,109
Halafu hajui nyumbani naishijeUnapomkaribisha mgeni nakumwambia jiskie upo nyumbani unategemea nini?
Halafu hajui nyumbani naishijeUnapomkaribisha mgeni nakumwambia jiskie upo nyumbani unategemea nini?
[emoji1] [emoji1] [emoji1] mgeni mfitiniMispend utaskia hizi sofa ulinunua shingapi. mala tv ulinunua wap ukimwambia utaskia hao wanauza vitu feki walikuuzia shingap ukimwambia utaskia walikuibia hizi wanauza bei chee
Si uweke movie muangalieKuja bila taarifa halafu anakaa muda mrefu! Mnamaliza kuongea, mnabaki kimya!
Shauri yako utakuwa hukaribishwi coz watakuwa wamesha kunote
ina maana ulimaliza mchezo kabla dakika 90?Hapo ndipo wenyeji wetu huwa mnayumba kunanyumba moja nilikaribishwa kwa mbwembwe nikawa nazingua dk yamwisho nikajisemea nisije nikaonekana nimewadharau ngoja niingie basi wakati wakukata ukali nikapewa kisu wa kwanza ile kufunuliwa poti nikakuta kilichomo ndani hakiakisi watu tulio lizunguka hilo poti lakini kiukweli ilibidi wajute tu maana baada ya mimi kukata niliona wengine wakiondoka kuelekea nje
ina maana ulimaliza mchezo kabla dakika 90?
au ulipiga K.O (knockout) ?
Unapomkaribisha mgeni nakumwambia jiskie upo nyumbani unategemea nini?
Wageni wanuka miguuu yani raha tena sebleni hakuna
Sina tv!Si uweke movie muangalie
RedioSina tv!
Hapo kwenye JIRANI weka BABA MKWE.Week end umepumzika na familia yako sitting room halafu Jirani from no where anaibuka naye anakuja anakaa hapo hapo haondoki wakat anajua kabisa kaingilia pose la watu
Mjomba wangu ndio alinifundisha hii tabia ya ukauzu. Kwamba ukienda mahala ukaoana mtu anakukaribisha chakula lakini kama vile hataki hata kama ulikua umeshiba wewe kula tu kumkomoa na roho yake mbaya tena chagua nyama nzuri nzuri na kama kaweka mifupa mwambiebmbona bakuri ina mifupa tu, ulizia minofu iko wapi???!!!!