Tabia gani usiyoipenda sebuleni?

Tabia gani usiyoipenda sebuleni?

Mtu anakuja huko atokako
Cjui wap amekukuta unaangalia zako ball,movie,
Kila ambacho umekichagua ww sasa yy anakuja


anakuambia at embu weka
Chanel flan wanakera kinyama hawa watu wa namna hii

[Color= yellow]Triple A[/color]
 
Sasa wewe kwanini ukiweke hicho kipande mbali..? Ni ili ukikute wewe au?
Unakuta mtu firigisi au paja kalificha mbali kabisa chini ya hotipoti au sahani kubwa, na mimi bila kula hivyo vitu kwenye kuku ni kama sijala, kwa nini nisikitafte hadi nikipate, na kama hakipo nauliza kabisa mbona sioni firigisi???!! Hahaha.
 
Mgeni kuingia sebuleni na viatu vyenye matope sijui soksi zina matundu!!!?
Nachukia kweli kweli
 
Back
Top Bottom