Tabia gani usiyoipenda sebuleni?

Tabia gani usiyoipenda sebuleni?

Katika vitu ambavyo vinamuacha uchi mtu mchoyo ni tabia ya kumaindisha vyakula! Hapo tu
 
ukianza uzi wa tabia za chumbani uniite .sebuleni mimi sio mkaaji sana.ila kuna tabia ya watu kulala kwenye makochi mchana inauzi sana maana unaharibu kochi si ukalale chumbani
Halafu yanakua yananuka kwa jasho na sebule nzima inanuka
 
Mgeni kuwa na aibu inakera sanaaaaa.........au akutume vocha nyambafuuuuu
 
Unamkaribisha mgeni ndan kwako akishaingia anaanza kufanya ukaguz wa macho kwa vitu vilivyomo mule ndani basi kama unavitu kuzidi yeye utaona anaanza kubetua midomo
Mithili ya beberu aliyetoka kunusa mkojo wa mbuz jike hasa kwa sisi ke
Hii Tabia siipendi
Ushaolewa mkuu?
 
Mimi nakerwa na mgeni anakuta unaangalia mpira alafu anakuambia ubadilishe chanel umwekee anayoitaka

Dah!
Ha rafiki wa wife kachemka leo nina angalia zangu Man U wanafanya yao et siju akataka waangalie sijuu series gani, wewe alichezea mjicho huo ikabidi wabebane wakaenda verandah huko nadhani kunisema!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mwengine soksi hajafua wiki 5 anaingia nazo sebuleni kwako, aisee harufu nzuri ya airfreshener inageuka mavi hapo hapo.
 
mkuu tunatoka familia yenye malez tofauti tofauti je wale wanaokula kwa kujilamba kiganja kizima cha mkono huku michuzi inatiririka kwenye mikono wao unawaonaje wanafaa
 
Back
Top Bottom