GreenCity
JF-Expert Member
- May 28, 2012
- 5,877
- 4,612
LUKU ya kupima!Redio
LUKU ya kupima!Redio
We kama mleta mada tuLUKU ya kupima!
Kwanini usiwe unafunga, mi nikirudi home cha kwanza nalock geti! Sitaki mazoea kabisa ya kijinga..siku watanikuta nabanjuka mubashara na dada yaoKuingia kwangu hovyo hovyo unakuta mtu anakuja sebuleni ghafla tu ashafungua gril ya mlango hee nachefukwa sana nilimtimua mmoja sipendi mazoea ya kipuuzi hivyo jee kama nipo na mpenzi wangu jee
Sent from my GT-S7301 using JamiiForums mobile app
Hahaaa! Unaonekana unapenda kudoea sana!We kama mleta mada tu
Hamna ila ukinikaribisha kwenye nyama sivungiHahaaa! Unaonekana unapenda kudoea sana!
Mkuu kumbe mizigo huwa inapangiliwa ile...nlikuwa sijui voWageni wajanja lazima tufukue
Nikaribishe kwako nije kubetua mdomo kama beberu. Utaenjoy sanaUnamkaribisha mgeni ndan kwako akishaingia anaanza kufanya ukaguz wa macho kwa vitu vilivyomo mule ndani basi kama unavitu kuzidi yeye utaona anaanza kubetua midomo
Mithili ya beberu aliyetoka kunusa mkojo wa mbuz jike hasa kwa sisi ke
Hii Tabia siipendi
Kwani mwanaume aliyekamilika naye huwa anabetua mdomo????Nikaribishe kwako nije kubetua mdomo kama beberu. Utaenjoy sana
Tabia mbaya una mchunguza mgeni anavyokula? umaskini mbaya sana!Habari zenu wa Jf
Kuna tabia ambazo wageni wamekua wakifanya masebuleni mwetu na sisi kiukweli hatuzipendi ila tunashindwa kuwaambia coz ni mgeni unaogopa kumuuzi.
Baadhi ya tabia zinazonikera mimi ni kama ifuatavyo
1. Mgeni kupandisha miguu juu ya kochi, inakera, kama unajisikia kukunja miguu yako si bora ukae chini basi uikunje vizuri. Kuliko kupandisha milonjo yako kochini.
2. Wakati wa chakula labda umekaanga kuku umeweka kwenye bakuli self service unamkaribisha mgeni badala achukue vipisi asepe yeye anaanza kuchakura chakura yani atafukua mpaka kipande cha chini sijui ndio anatafuta kikubwa zaidi inaboa. We ukikaribisjwa fika chukua sepa.
Je wewe ni tabia gani hupendi kutoka kwa mgeni wako? Funguka hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani mwanaume aliyekamilika naye huwa anabetua mdomo????
Nitakuwa nanusa nusa flavorKwani mwanaume aliyekamilika naye huwa anabetua mdomo????
Sitaki mgen wa hivyoNitakuwa nanusa nusa flavor
Wahenga walisema "mgeni njoo mwenyeji apone". Nikifika kwa utapona immediatelySitaki mgen wa hivyo
Siku hiz wagen wamegeuka kuwa madaktar makubwWahenga walisema "mgeni njoo mwenyeji apone". Nikifika kwa utapona immediately