Sasa Kama anajijua viatu vyake vinatoa harufu Kari kwanini asiingie navyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa Kama anajijua viatu vyake vinatoa harufu Kari kwanini asiingie navyo
Sent using Jamii Forums Sasa si afue soks!!?
Sasa Kama anajijua viatu vyake vinatoa harufu Kari kwanini asiingie navyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa Kama anajijua viatu vyake vinatoa harufu Kari kwanini asiingie navyo
Sent using Jamii Forums Sasa si afue soks!!?
hujazaa weweMgeni aje kwangu na mtoto alafu dogo mtundu balaa, mala kachakua hichi kaacha mala hichi yaan nakasilika balaaa.
Nataman nimuwashe konzi la maana atulie ila nashindwa tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yan mkuu umeongea kitu kinachonikera kwelu kweli....Mtu anakuja huko atokako
Cjui wap amekukuta unaangalia zako ball,movie,
Kila ambacho umekichagua ww sasa yy anakuja
anakuambia at embu weka
Chanel flan wanakera kinyama hawa watu wa namna hii
Triple A
Sasa wewe kwanini ukiweke hicho kipande mbali..? Ni ili ukikute wewe au?![]()
Sasa kuna wageni nyumba zetu haujawahi kulishwa papatio wala kimkia.Blaza, siku zote vipande vikubwa kama paja na papatio hutangulizwa chini ili visivunje vingine. ila Bahati Mbaya.... karibia wageni woooooote wanaijua hii tekiniki.
Halafu unakuta anajifanya mgeni kwanza![]()
![]()
![]()
mbaya sana na ukiondoka anakusemaKariiiiibu kariiiibu, jisikie upo nyumbani! Jamani mbona haupakui cha kutoshaaa?
Huku jicho la mwenyeji linatembea na mkono wa mgeni.
Tabia hatarishi kwa wageni
mkuu uko sahihi, mimi ndo najiulizaga hivi inakuaje uje uanze kunipekua pekua wakati mimi nikija kwako sifanyi hayo mambo na wala sifatilii vitu vyako.Mgeni kuja na kuanza kuchunguza chunguza vitu vyako mara hiki mara kile..
Ndio maana kwangu nimeweka bango dogo lenye ujumbe "Mgeni karibu kwangu ila utakayoyakuta huku yaache huku huku'
Ni hulka za watu hizo mkuu, ustaarabu unampita kushotomkuu uko sahihi, mimi ndo najiulizaga hivi inakuaje uje uanze kunipekua pekua wakati mimi nikija kwako sifanyi hayo mambo na wala sifatilii vitu vyako.
Mgeni kuniambia unakula saa ngapi mi nakaribia kuandoka na njaa inaniuma.
Me huwa nawakomesha wa hivyo unakuta anakuambia mbona huli mboga naacha chakula naanza kula mboga tu mboga tu mpk mwisho.Kariiiiibu kariiiibu, jisikie upo nyumbani! Jamani mbona haupakui cha kutoshaaa?
Huku jicho la mwenyeji linatembea na mkono wa mgeni.
Tabia hatarishi kwa wageni
Hahahahaha huyo mtoa mada mchoyo huyu, anataka kidari ale yeye akifika mezani!Sasa wewe kwanini ukiweke hicho kipande mbali..? Ni ili ukikute wewe au?![]()
HahahahajahMgeni aje kwangu na mtoto alafu dogo mtundu balaa, mala kachakua hichi kaacha mala hichi yaan nakasilika balaaa.
Nataman nimuwashe konzi la maana atulie ila nashindwa tu.
Sent using Jamii Forums mobile app