Tabia gani usiyoipenda sebuleni?

Tabia gani usiyoipenda sebuleni?

Nachukia wageni wanaokuja wamevaa nguo ambazo hazina maadili sometimes unamtamani,unaweza kujikuta unamkodolea muda wote..

Yaani yako wazi mapaja nusu,
Na kama mazingira yanaruhusu,
Unaweza kujikuta umempiga busu,
Na yatakayofuata hayawahusu,
Kama ni kadenti utajikuta mahabusu,
 
Kuingia na viatu ndani hasa nikiwa ndo nimemaliza kusafisha nyumba

Small minded people will never understand
 
Unakuta mtu firigisi au paja kalificha mbali kabisa chini ya hotipoti au sahani kubwa, na mimi bila kula hivyo vitu kwenye kuku ni kama sijala, kwa nini nisikitafte hadi nikipate, na kama hakipo nauliza kabisa mbona sioni firigisi???!! Hahaha.
Mkuu taratiibu utanivunja mbavu ...nahivyo vitu kwa kabira letu ndo heshima ya mgeni Kama sijala hivyo najua utaona Kama nimedharau msosi ulioniandalia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aki sipendi mgeni anayejitoa ufahamu anaingia na viatu kwangu
Kufukua chakula sipendi sio kwa mgeni kwa mtu yeyote hata bar
Mgeni anaye nuka miguu ndo mwisho nachukia mpaka nakuwa wakijani na sina ujasiri wa kumwambia
Mgeni anayekuja na mtoto mchangamfu napenda maana nyumba inachangamka sana
 
Sasa wewe kwanini ukiweke hicho kipande mbali..? Ni ili ukikute wewe au?
Nitakukata Jicho mpaka apatite iishe tabia mbaya sana hii bora uongeze speed ya kula ili ukifikie au chukua vipande vingi kuliko kuchokora chakula unatafuta sijui vipande vinono
 
Nitakukata Jicho mpaka apatite iishe tabia mbaya sana hii bora uongeze speed ya kula ili ukifikie au chukua vipande vingi kuliko kuchokora chakula unatafuta sijui vipande vinono
sasa sister wewe unaficha vinyago vinono chini halafu juu unaweka mifupa. Kweli...

Mimi nitainua hotpot nivichacharishe kama napepeta mchele vinono vije juu
 
sasa sister wewe unaficha vinyago vinono chini halafu juu unaweka mifupa. Kweli...

Mimi nitainua hotpot nivichacharishe kama napepeta mchele vinono vije juu
Naeka randomly bhana,,,nakupa taarifa mapema ole wako ntakushika mkono ukiniletea ujinga ujinga mimi
 
.....nikumuelimisha tu maana unakuta wengine hawajawahi kutumia choo cha ku-frush
Hapana jamani huyo kaishi mjini choo cha kuflash toka kabla hajaota meno then unakuja kwangu unajiachia unakula unashiba unaenda chooni unaniachia kimba! Niliona baadae alipoondoka nikamtext msg moja tu, tunakutana ktk sherehe za familia tu kwa kweli.
 
Hapana jamani huyo kaishi mjini choo cha kuflash toka kabla hajaota meno then unakuja kwangu unajiachia unakula unashiba unaenda chooni unaniachia kimba! Niliona baadae alipoondoka nikamtext msg moja tu, tunakutana ktk sherehe za familia tu kwa kweli.

.....yaan watu wengine sijui huwa wakoje maana kwaakili ya kawaida kabla ya kutoka toi inatakiwa ukague kama umeacha mazingira katika hali rafiki
 
Naeka randomly bhana,,,nakupa taarifa mapema ole wako ntakushika mkono ukiniletea ujinga ujinga mimi
Hahaha... tena kwako nakuwa free ile mbaya..

Mimi ndiyo wale wageni wakati wa kupakua nakuuliza si tupo wawili tu eeh ili nijiongezee mboga
 
doh ila kwa chakula umezidi ndugu hee....

m spendi mgeni muogamuoga yan kila kitu nimfanyie yani zilee sjui naomba maji m nakuelekeza friji ile pale glas kwe kabati
M napenda mgeni akija ajiachie
kama msosi ak mis ruksa kujipikia


try me
 
Mgeni Kuja Na Mtoto Msumbufu Alaf Kadekezwa Ukimgusa Kelele Na Mama Ake Au Dad Wake Hasemi Kitu Hko Sipend Asee ,,pili Mgeni Kihelehele Yan Kila Mada Hata Haimuhusu Anadakia ,, Mgeni Kukaa Zaid Yat Muda Unaotakiwa Unajua Mtu Ana Latiba Zake We Ukija Tu Unaniharibia Ratiba Zangu Sasa Uckae Sana ,, Biblia Inasema Tusiache Kuwafadhili Wageni Maana Wengine Ni Malaika Lakin Pia Kwenye Methali Biblia Inanionya Mimi Kwamba Mguu Wangu Uwe Na Kiasi Kwenye Nyumba Ya Jiran Yangu ,,sizuii Wageni Ila Naomba Mungu Alete Wale Wa Makusudi Yake Tu
 
Hahaha... tena kwako nakuwa free ile mbaya..

Mimi ndiyo wale wageni wakati wa kupakua nakuuliza si tupo wawili tu eeh ili nijiongezee mboga
Broh" me sina shida kabisa na kuongeza, kula uwezavyo lakini ujinga wa kufokonyoa bakuli au hotpot kutafuta pande nono ndo ntakutoa baru kama hamorapa alivo ona bastola enzi za nape nnauye
 
Back
Top Bottom