Tabata ndo inaongoza kwa usodoma na ugomora

Tabata ndo inaongoza kwa usodoma na ugomora

Kuna kitu huwa akiongelewi kuhusu chanzo cha ushoga nikuambie tu ndugu yangu ni asilimia ndogo sana ya watu waliopitia hayo malezi uliyoyataja wamekuja kuwa mashoga, wengi wakipotea utawakuta wanabwia unga au ulevi tu

Ila asilimia kubwa ya mashoga ni watu walioishi kwa stress kubwa za kifamilia hususa udogoni, kaa chunguza utakubaliana na mimi, tafuta shoga mhoji historia yake ya maisha utakuta moja kati ya haya:-

1. Ameishi na mzazi mmoja
2. Ameshuhudia ugomvi mkubwa wa wazazi wake
3. Amekuwa akihisi kutelekezwa kihisia au kupuuzwa kihisia na wazazi wake hususa baba zao

Mtu mpaka anatumbukia kuwa shoga huwa ni kazi ngumu sana na huwa siyo maamuzi yatamaniwayo nao, achana na sababu nyepesi kama tamaa za vijana amini hii sababu huwa ni sababu nyepesi sana na ni ya watu wasiopenda kuchimba vyanzo vya mambo.

Ila pia sikatai wapo wanaolawitiwa kwa nguvu kama kwenye magereza, majumbani na hata wafumaniwao na wake za watu

Natumai umenielewa ndugu, kuepusha huu ushoga kunaanzia kwetu wazazi na tabia zetu mbele ya vijana wetu

Ok naomba nikujibu hivi kwa uelewaa wangu mdogo nilio nao
Mashoga wengi wa kipindi hiki ni TAMAA tu nothing else kuhusu familiaa naweza kusema ni asilimiaa 2%why nasema hivyo unakuta mtu straight anataka kujaribu kutokana na story alizozisikiaaa so na makundi nayo yanachangiaaa
 
Ok naomba nikujibu hivi kwa uelewaa wangu mdogo nilio nao
Mashoga wengi wa kipindi hiki ni TAMAA tu nothing else kuhusu familiaa naweza kusema ni asilimiaa 2%why nasema hivyo unakuta mtu straight anataka kujaribu kutokana na story alizozisikiaaa so na makundi nayo yanachangiaaa

Nikiambie kitu mwanaume straight kuwa shoga ni kitu kigumu, labda kama unasemea mwanamke kuingiliwa kinyume na maumbile ila mwanaume straight asiye na mambo nliyoyasema awalia ni ngumu sana kuwa shoga.

Kama wew ni mwanaume utaelewa nini nimemaanisha pia kama ni mwanadada utajifunza kitu. Nikupe task ndogo tafuta mtu shoga kuwa nae karibu then mdadisi vizuri background yake na familia yao am sure utagundua kitu tofauti sana.

Kitu kinasikitisha ni kuwa tunauchukulia ushoga kama jambo linaloletwa na mhusika mwenyewe tunasahau kuwa hilo ni jambo la kisaikolojia pia.

Umewahi jiuliza kwanin Bill Clinton au Tupac Shakur waliwahi tuhumiwa kujihusisha na ushoga?, basi nenda katafute usome opinions za wataalamu tofauti tofauti utajifunza jambo pia.

Kuna makala fulani niliwahi isoma inahusu ushoga na usagaji kwenye pre colonial Africa nayo ina points nyingi tu zinazokataa kuwa hayo mambo Afrika hayajaletw na utandawazi tena na evdence waliweka jaribu i google ukiipata hiyo au yoyote inayoongelea hayo mambo utapata kitu pia

Au tafuta watu waliowahi fanya research kuhusu hilo jambo utaona mengi sana kitu najaribu onesha hapa ni kuwa tusilichukulie simple hili swala ina mengi sana tusiyoyaelewa vizuri.

Mwisho, kwani hujawai ona su sikia kuwa kuna shoga anatafuta basha amfanyie hayo mambo kisha amlipe yeye embu niambie tamaa imetokea wapi apo?, labda chanzo chake alilawitiwa kinguvu au uonevu wa utotoni ulimjengea hofu yakujiona dhaifu akajijengea hali hiyo akaishia amini anaitaji kutawaliwa na mwanaume mwenzake kihisia za mapenzi

Remind you siyo kila shoga ni mlaini laini wapo wengine wakatili kweli kweli, jaribu waza upande huo wapili ndugu.
 
Nikiambie kitu mwanaume straight kuwa shoga ni kitu kigumu, labda kama unasemea mwanamke kuingiliwa kinyume na maumbile ila mwanaume straight asiye na mambo nliyoyasema awalia ni ngumu sana kuwa shoga.

Kama wew ni mwanaume utaelewa nini nimemaanisha pia kama ni mwanadada utajifunza kitu. Nikupe task ndogo tafuta mtu shoga kuwa nae karibu then mdadisi vizuri background yake na familia yao am sure utagundua kitu tofauti sana.

Kitu kinasikitisha ni kuwa tunauchukulia ushoga kama jambo linaloletwa na mhusika mwenyewe tunasahau kuwa hilo ni jambo la kisaikolojia pia.

Umewahi jiuliza kwanin Bill Clinton au Tupac Shakur waliwahi tuhumiwa kujihusisha na ushoga?, basi nenda katafute usome opinions za wataalamu tofauti tofauti utajifunza jambo pia.

Kuna makala fulani niliwahi isoma inahusu ushoga na usagaji kwenye pre colonial Africa nayo ina points nyingi tu zinazokataa kuwa hayo mambo Afrika hayajaletw na utandawazi tena na evdence waliweka jaribu i google ukiipata hiyo au yoyote inayoongelea hayo mambo utapata kitu pia

Au tafuta watu waliowahi fanya research kuhusu hilo jambo utaona mengi sana kitu najaribu onesha hapa ni kuwa tusilichukulie simple hili swala ina mengi sana tusiyoyaelewa vizuri.

Mwisho, kwani hujawai ona su sikia kuwa kuna shoga anatafuta basha amfanyie hayo mambo kisha amlipe yeye embu niambie tamaa imetokea wapi apo?, labda chanzo chake alilawitiwa kinguvu au uonevu wa utotoni ulimjengea hofu yakujiona dhaifu akajijengea hali hiyo akaishia amini anaitaji kutawaliwa na mwanaume mwenzake kihisia za mapenzi

Remind you siyo kila shoga ni mlaini laini wapo wengine wakatili kweli kweli, jaribu waza upande huo wapili ndugu.
Kifupi uko sahihi kabisa na unachoongea ni kutoka kwenye utafiti halisi
 
Tukilifuatilia jambo la ushoga kwa undani tutajifunza na kugundua vitu vingi sana.
Na sio ushoga tu bali tabia hatarishi zote kama uvutaji wa madawa ya kulevya pamoja huo ukahaba kuna chanzo chake kama ulivyoeleza na mara nyingi ni familia ila kwa yote uko sahihi naamini utakuwa unafanya kazi na taasisi flani ya kusaidia jamii mawazo yako yanaweza kutumika vema

Sent from my SM-N9005 using JamiiForums mobile app
 
Nikiambie kitu mwanaume straight kuwa shoga ni kitu kigumu, labda kama unasemea mwanamke kuingiliwa kinyume na maumbile ila mwanaume straight asiye na mambo nliyoyasema awalia ni ngumu sana kuwa shoga.

Kama wew ni mwanaume utaelewa nini nimemaanisha pia kama ni mwanadada utajifunza kitu. Nikupe task ndogo tafuta mtu shoga kuwa nae karibu then mdadisi vizuri background yake na familia yao am sure utagundua kitu tofauti sana.

Kitu kinasikitisha ni kuwa tunauchukulia ushoga kama jambo linaloletwa na mhusika mwenyewe tunasahau kuwa hilo ni jambo la kisaikolojia pia.

Umewahi jiuliza kwanin Bill Clinton au Tupac Shakur waliwahi tuhumiwa kujihusisha na ushoga?, basi nenda katafute usome opinions za wataalamu tofauti tofauti utajifunza jambo pia.

Kuna makala fulani niliwahi isoma inahusu ushoga na usagaji kwenye pre colonial Africa nayo ina points nyingi tu zinazokataa kuwa hayo mambo Afrika hayajaletw na utandawazi tena na evdence waliweka jaribu i google ukiipata hiyo au yoyote inayoongelea hayo mambo utapata kitu pia

Au tafuta watu waliowahi fanya research kuhusu hilo jambo utaona mengi sana kitu najaribu onesha hapa ni kuwa tusilichukulie simple hili swala ina mengi sana tusiyoyaelewa vizuri.

Mwisho, kwani hujawai ona su sikia kuwa kuna shoga anatafuta basha amfanyie hayo mambo kisha amlipe yeye embu niambie tamaa imetokea wapi apo?, labda chanzo chake alilawitiwa kinguvu au uonevu wa utotoni ulimjengea hofu yakujiona dhaifu akajijengea hali hiyo akaishia amini anaitaji kutawaliwa na mwanaume mwenzake kihisia za mapenzi

Remind you siyo kila shoga ni mlaini laini wapo wengine wakatili kweli kweli, jaribu waza upande huo wapili ndugu.
dunia ina mengi hata mengine hayafai kuongelewa humu
 
Haha ha ha si unaona walikatwaa wakaachiwaa ...chura ukimpiga teke unamuongezea mwendo ndo walienda kupewa kabisa mkataba
D u u u !
Ina maana wameshapewa namba ya mlipa kodi wamepewa? Kama vyanzo vyenyewe vya kodi ndo hivi,na mambo yenyewe ndo haya, tutazamie tusiyoyajua kutokea.
 
Na haya mambo ya 071 si wanawake pekee mkiwa kwenye game wanataka hadi wanaume pia..imeshawahi ntokea kwenye mahusiano ya wanaume kama watatu hivi mkiwa mchezoni anajifanya haoni anataka kuingiza back ..dah..kukatana stimu tu..na mahusiano yaliishia hapohapo
 
Na haya mambo ya 071 si wanawake pekee mkiwa kwenye game wanataka hadi wanaume pia..imeshawahi ntokea kwenye mahusiano ya wanaume kama watatu hivi mkiwa mchezoni anajifanya haoni anataka kuingiza back ..dah..kukatana stimu tu..na mahusiano yaliishia hapohapo
Pole sana , ulisalimika?? Wanaume watatu wote watake ??0


Mmmhhhh can't imagine what kind of the seat you are sitting on
 
Mambo haya yanaletwa na Kulea watoto kama Mayai ndani yasipasuke.. litoto toka lizaliwe huwa Halichezi na Watoto wenzake unalifungia Getini ndani ... Linafikisha Miaka 2-4 unapeleka Shuleni na Magari halionani na wenzake. Wakati wenzake wanasoma St Kayumba Wanaenda kwa Furaha ...

Mtoto wako akirudi kazi yake kucheza na Mfanyakazi wa ndani tena wa Kike. Tegemea ushoga
Umenena aisee..kuna jirani hapa mtaani kwetu watoto wao wanawalea hvyihvyo geti kali..katoto kao kamoja kalikua kanasoma tusiime..kumbe uko shule kalianza mchezo..wazazi wameshtuka..ni too late..wakamuamisha shule sasa kamaliza shule ila nahsi bado kuna mtu anamfanyia huo ujinga..kanazidi kuharibika
 
Muongo tu hukuondoka wala nini ulimla tigo.. kwani mnasemaga? Acha stori za movie za kihindi
Teh... Wanafiki hao. Eti ooh alinipa tigo nikakimbia, mwingine ooohh nilikula tigo nikaenda kutubu!!!! Majitu mamende usiyaamini kabisa!!!
 
Na sio ushoga tu bali tabia hatarishi zote kama uvutaji wa madawa ya kulevya pamoja huo ukahaba kuna chanzo chake kama ulivyoeleza na mara nyingi ni familia ila kwa yote uko sahihi naamini utakuwa unafanya kazi na taasisi flani ya kusaidia jamii mawazo yako yanaweza kutumika vema

Sent from my SM-N9005 using JamiiForums mobile app

Niliwai kufanya tafiti na dawati la jinsia mkuu niliona na kujifunza mengi ya kustaajabisha sana, hope paper hawakuifungia kabatini itawasaidia sana
 
Pole sana , ulisalimika?? Wanaume watatu wote watake ??0


Mmmhhhh can't imagine what kind of the seat you are sitting on
Nilisalimika ofcoz..msimamo na nina muogopa MUNGU..naheshimu maandiko...Namshukuru MUNGU nimejaaliwa si haba..na wanaume wanahisi ukiwa hvyo ndio mliwa 0 sijui
 
  • Thanks
Reactions: mij
Nilisalimika ofcoz..msimamo na nina muogopa MUNGU..naheshimu maandiko...Namshukuru MUNGU nimejaaliwa si haba..na wanaume wanahisi ukiwa hvyo ndio mliwa 0 sijui
Una msimamo dhabiti.. unafaa kuwekwa ndani, achana na hao washenzi njoo kwangu [emoji6]
Back to the topic.. Kwa wasoma Biblia Kufirana siyo dhambi tu, imetajwa kama laana. Dhambi unatubu. Laana inafutwa kwa kufanya ibada maalumu, consequance za laana huwaga ni nzito as we all know
 
Una msimamo dhabiti.. unafaa kuwekwa ndani, achana na hao washenzi njoo kwangu [emoji6]
Back to the topic.. Kwa wasoma Biblia Kufirana siyo dhambi tu, imetajwa kama laana. Dhambi unatubu. Laana inafutwa kwa kufanya ibada maalumu, consequance za laana huwaga ni nzito as we all know
Kweli kabisa
 
Back
Top Bottom