Tabata ndo inaongoza kwa usodoma na ugomora

Tabata ndo inaongoza kwa usodoma na ugomora

Mambo haya yanaletwa na Kulea watoto kama Mayai ndani yasipasuke.. litoto toka lizaliwe huwa Halichezi na Watoto wenzake unalifungia Getini ndani ... Linafikisha Miaka 2-4 unapeleka Shuleni na Magari halionani na wenzake. Wakati wenzake wanasoma St Kayumba Wanaenda kwa Furaha ...

Mtoto wako akirudi kazi yake kucheza na Mfanyakazi wa ndani tena wa Kike. Tegemea ushoga
Yaaaan haya malezi ni mabaya saaanaa akimalizaa hapo anafaulu bordin school akifika kule anakutana na wenzake washapata elimu dunia yy anajua ya ndani tu hapo hapo wenzake waanza kumuharibu yaaan maisha ya sasa watoto wa kiume ndo wakuwalinda
 
Aisee sitokaa nisahau siku nmemkuta dem kwenye daladala nkiwa natoka tabata mawenzi naenda chuo NIT, nikachukua namba mzee nikaingia kazini kumuimbisha mtoto akanielewa. Mipango ikakaa sawa si tukapanga miadi. Ile nmekodi uwanja dem kaja anasema nataka bia nkampa idadi aliyokuwa anataka tukaenda uwanjani kula lile tunda la kati, duuh nashangaa katikati ya mechi duu ananiambia vipi back hutumii? Nliishiwa nguvu nikamwambia mama naomba vaa nguo ondoka haraka. Ile anagomagoma nikavaa mimi nkamuacha. Dah tabata shkamoo japo ndo hom.
Muongo tu hukuondoka wala nini ulimla tigo.. kwani mnasemaga? Acha stori za movie za kihindi
 
Huyu anaekataa ufirauni wa Tabata atakuwa mgeni wa mji huu. Upande ule wala hata maaskari hawana muda napo kuzungukia wanaokunywa mchana. Kuna mademu kule asilimia kubwa ni watoa ndogo na sio wakazi wa kule, wanaenda kula bata tu. Tabata ukipata demu bar, we jua ndogo ni yako siku hiyo
 
Yaaan na waliobaki wachache utawakuta bale elegance kwa nje na wengi wao ni wanawake wanaune wengi utawakuta la chalz pale ila kwa kifupi sinza imepooozaaaa sio ilensinza ya enzi zike daah ilikuwa kufuru
Imekuwa sinza ya wajanja ila wacha MUNGU.
 
Muongo tu hukuondoka wala nini ulimla tigo.. kwani mnasemaga? Acha stori za movie za kihindi
Ahahahhahaj na asilimiaa kubwa wakataaaji kwenye public ila wakiwa private ndo mambo yao lol
 
Wenye fweza washakuwa wastaafu then watoto waliosomeshwa na hao Sinza dingiz utawakuta Tabata na Mbezi. Mwendo wa bata tu pande zetu huku Toroka uje. Lkn pia tukiwa wadogo huko Sinza Pande za Silent In, Cafe Latino nk tulikula bata za kufa mtu
 
Wenye fweza washakuwa wastaafu then watoto waliosomeshwa na hao Sinza dingiz utawakuta Tabata na Mbezi. Mwendo wa bata tu pande zetu huku Toroka uje. Lkn pia tukiwa wadogo huko Sinza Pande za Silent In, Cafe Latino nk tulikula bata za kufa mtu
Tabata issa new sinza kwa wajanja sijui wala bata so kikichokuwa kinatokeaa sinzaa ndo kinatokeaa tabata mara 5 yake yaaani ni kufuru mpka unaweza sema Mungu hayupo mbezi kawaidaaa
 
Nashangaa Juliana Shonza anakimbizana na kina Giggy Money tu,Vp Waziri anayeshughulika na jamii,Yupo wapi? Kina James Delicious wapo kibao mtandaoni wanauza "MITARO" waziwazi.
 
Siku nilienda club flan hv inaitwa THE GREAT sjui nini nini GREAT
Kumbe kuna malaya pale wanajiuza bna
Kutoka hivi moja akanifata bna, nikashangaa angakuja na lugha ya kimalaya bna
Ikabid nikatae, akaanza kuniambia anatoa ndogo, aisee nilimshangaa
Ninachojuaga waga wanajificha na hufanya kwa siri
 
Mambo haya yanaletwa na Kulea watoto kama Mayai ndani yasipasuke.. litoto toka lizaliwe huwa Halichezi na Watoto wenzake unalifungia Getini ndani ... Linafikisha Miaka 2-4 unapeleka Shuleni na Magari halionani na wenzake. Wakati wenzake wanasoma St Kayumba Wanaenda kwa Furaha ...

Mtoto wako akirudi kazi yake kucheza na Mfanyakazi wa ndani tena wa Kike. Tegemea ushoga

Kuna kitu huwa akiongelewi kuhusu chanzo cha ushoga nikuambie tu ndugu yangu ni asilimia ndogo sana ya watu waliopitia hayo malezi uliyoyataja wamekuja kuwa mashoga, wengi wakipotea utawakuta wanabwia unga au ulevi tu

Ila asilimia kubwa ya mashoga ni watu walioishi kwa stress kubwa za kifamilia hususa udogoni, kaa chunguza utakubaliana na mimi, tafuta shoga mhoji historia yake ya maisha utakuta moja kati ya haya:-

1. Ameishi na mzazi mmoja
2. Ameshuhudia ugomvi mkubwa wa wazazi wake
3. Amekuwa akihisi kutelekezwa kihisia au kupuuzwa kihisia na wazazi wake hususa baba zao

Mtu mpaka anatumbukia kuwa shoga huwa ni kazi ngumu sana na huwa siyo maamuzi yatamaniwayo nao, achana na sababu nyepesi kama tamaa za vijana amini hii sababu huwa ni sababu nyepesi sana na ni ya watu wasiopenda kuchimba vyanzo vya mambo.

Ila pia sikatai wapo wanaolawitiwa kwa nguvu kama kwenye magereza, majumbani na hata wafumaniwao na wake za watu

Natumai umenielewa ndugu, kuepusha huu ushoga kunaanzia kwetu wazazi na tabia zetu mbele ya vijana wetu
 
Hahaha usijitetee nasema kitu ninachokijuaa tabata na wakaaji wake asilimiaaa 75 kizazi cha sodoma na gomora fuatliaa mkuu kuna ma house party ya mashoga na vibao kata vinafanyika huko tabata ni balaaaa usiombe siku uuhudhurieee
wengi wanaokuja kufanya yao huku tbt si wakazi. kama ilivyokuwa sinza au maeneo mengine ya beach.
 
Nashangaa Juliana Shonza anakimbizana na kina Giggy Money tu,Vp Waziri anayeshughulika na jamii,Yupo wapi? Kina James Delicious wapo kibao mtandaoni wanauza "MITARO" waziwazi.
Sasa huku tabata shoga anakufata live live uwiiiii kuna siku nipo na bwana angu nikawa nimeenda wash room ile narudi nakuta kishoga kishajikalishaa kinajiongeleshaa nilimtimuajee
 
Back
Top Bottom