Tabata ndo inaongoza kwa usodoma na ugomora

Tabata ndo inaongoza kwa usodoma na ugomora

Mambembe

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2018
Posts
2,217
Reaction score
2,971
Kama kichwa kinavyojielezaa,

Kwa sasa hamna sehemu hapa Dar es Salaam inayoongoza kwa usodoma na ugomora kama Tabata kwa kifupi ile Sinza ya zamani imehamia Tabata.

Ufuska wote kwa sasa umehamia Tabata na kwa takwimu zilizopo Tabata ndo panaongoza kwa mashoga na wanaume wanaoishi na wanaume wenzao kama mume na mke yaani Tabata imejaa walaji na waliwaji.

Wazazi kuweni makini na watoto wenu nikimaanisha kuweni karibu nao na kuwapa malezi mazuri na kuwafundisha misingi mizuri kwa kuwapa elimu dunia na ya dini pia na wake kuweni makini na wanaume zenu usije shangaa hujawahi mfumania mumeo na mchepuko ukadhani kuwa ni mwaminifu sana u never know uchepukaji wake ni wa aina gani.

Hivyo kila abiria achunge mzigo wake(mume) na vifurushi vyake (watoto)

Msije sema hamkuambiwa
 
Haya mambo ya USHOGA naona yanatapakaa kupita kiasi
Kwa sababu ndo yaliyopo yasipozungumziwa na kukemewa trust me tunakoelekeaa vizazi vijavyo havitatizamika....isipotokea kwenye familia yako itatokea kwa ndugu yako so kemea mapema na kuwa makini na kuilinda familiaa pia
 
Sawa mkuu inamaana makonda na yule waziri hawakuwafunga hao mashoga? Na waliishia wapi hiyo kampen yao?
Walifungiwa au ndo walifunguliwaa njiaaa hivi angewafungiaa huko mitandaoni wangejiachiaa na kujianika kama wafanyavyo????
 
Itakua walipewa na leseni kabisa
Haha ha ha si unaona walikatwaa wakaachiwaa ...chura ukimpiga teke unamuongezea mwendo ndo walienda kupewa kabisa mkataba
 
Aisee sitokaa nisahau siku nmemkuta dem kwenye daladala nkiwa natoka tabata mawenzi naenda chuo NIT, nikachukua namba mzee nikaingia kazini kumuimbisha mtoto akanielewa. Mipango ikakaa sawa si tukapanga miadi. Ile nmekodi uwanja dem kaja anasema nataka bia nkampa idadi aliyokuwa anataka tukaenda uwanjani kula lile tunda la kati, duuh nashangaa katikati ya mechi duu ananiambia vipi back hutumii? Nliishiwa nguvu nikamwambia mama naomba vaa nguo ondoka haraka. Ile anagomagoma nikavaa mimi nkamuacha. Dah tabata shkamoo japo ndo hom.
 
Aisee sitokaa nisahau siku nmemkuta dem kwenye daladala nkiwa natoka tabata mawenzi naenda chuo NIT, nikachukua namba mzee nikaingia kazini kumuimbisha mtoto akanielewa. Mipango ikakaa sawa si tukapanga miadi. Ile nmekodi uwanja dem kaja anasema nataka bia nkampa idadi aliyokuwa anataka tukaenda uwanjani kula lile tunda la kati, duuh nashangaa katikati ya mechi duu ananiambia vipi back hutumii? Nliishiwa nguvu nikamwambia mama naomba vaa nguo ondoka haraka. Ile anagomagoma nikavaa mimi nkamuacha. Dah tabata shkamoo japo ndo hom.
Boraaa huyo alikuulizaaa wengine hawaulizii anawekaa mwenyewe, yaaan huko kwa sasa hapafai watoto wanaharibiwa saana na watu wazimaaa na vijana wenye tamaa ndo kabisaa wanamalizwaaa maskin
 
Back
Top Bottom