Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,593
- 93,300
Tumbiri kapewa cheo gani tena?Nami nilishangaa sana jana, nilimuona David Kafulila akizungumzia hii, huyo mwekezaji alikuwa mfukoni?...
Tumbiri kapewa cheo gani tena?Nami nilishangaa sana jana, nilimuona David Kafulila akizungumzia hii, huyo mwekezaji alikuwa mfukoni?...
Kwani mkuu leo hujafunga?Mradi wa Mwendokasi bhana una sarakasi za kufa mtu wacha nitulie tu nikipata ubuyu hapa...
Shangaa na weweNami nilishangaa sana jana, nilimuona David Kafulila akizungumzia hii, huyo mwekezaji alikuwa mfukoni?...
Unamaanisha wenye nchi ni Msoga Family?Mkuu nchi ina wenyewe hii, kuna sisi wana nchi na kuna wenye nchi.
Tuombe tu iuzwe kila mtu achukue cha kwake. 😂
HasaraMkuu nchi ina wenyewe hii, kuna sisi wana nchi na kuna wenye nchi.
Tuombe tu iuzwe kila mtu achukue cha kwake. 😂
Unaelewa maana ya Ubuyu mazee...Kwani mkuu leo hujafunga?
Ubuyu Siyo chakulaKwani mkuu leo hujafunga?
Ni Commissioner wa Public Private partnership service huko Ministry of Finance & ManagementsTumbiri kapewa cheo gani tena?
WatajekeiMarehemu Sitta alisema nchi hii inaliwa na watu 10
Na hii ndiyo maana ya usemi wake
Duu kumbe Sitta na mke wake wapo bungeni?Sitta huyuhuyu aliyejenga ofisi ya Spika Urambo? Sitta huyuhuyu aliyehujumu mchakato wa katiba Mpya Kwa maslahi binafsi ili aje kugombea Urais?
Sitta huyuhuyu yeye na mke wake wote wapo bungeni wanakamuwa Kodi za Watanzania?
Nenda MEMKWA.Duu kumbe Sitta na mke wake wapo bungeni?
Sawa chizi ngumbaroNenda MEMKWA.
Ni urojoUbuyu Siyo chakula
Still wanajenga barabara mpya za mwendokasi ilhali zilizopo wanashindwa kuzitumia effectivelyMradi wa Mwendokasi bhana una sarakasi za kufa mtu wacha nitulie tu nikipata ubuyu hapa...
Abiria wapoStill wanajenga barabara mpya za mwendokasi ilhali zilizopo wanashindwa kuzitumia effectively
Abiria wapo wengi sanaAbiria wapo
KabisaAbiria wapo wengi sana
Mkuu umeonesha kiwango kidogo sana kwenye kujadili hoja.Sitta huyuhuyu aliyejenga ofisi ya Spika Urambo? Sitta huyuhuyu aliyehujumu mchakato wa katiba Mpya Kwa maslahi binafsi ili aje kugombea Urais?
Sitta huyuhuyu yeye na mke wake wote wapo bungeni wanakamuwa Kodi za Watanzania?
Ukweli ndio huo, ni yeye na familia yake na watu wachache.Unamaanisha wenye nchi ni Msoga Family?
"Black people are not complete human beings because they don't have a good brain to govern the society as White people. They are still under the process of becoming the complete human beings."Hizi taarifa zinachanganya!
Tarehe 23 march niliangalia taarifa ya habari, Taarifa zinasema Serikali ina mpango wa kutafta mwekezaji ambaye ataleta mabasi na kutoa huduma kama mzabuni.
Tarehe 25 march katika taarifa ya habari wanasema mzabuni tayali kashaanza kuigiza mabasi! Swali tenda ilitangazwa lini?
Anyway! Wanaendelea kusema Mabasi hayo yatakuwa ya mzabuni hadi pale yatapofikia uchakavu ndipo yatakuwa mali ya serikali. Swali serikali kama imeshindwa kuyasimamia yakiwa mapya watawezaje kuyasimamia watapokabidhiwa yakiwa mabovu?
Huyu mzabuni ni nani? Kwanini mkataba useme mabasi chakavu itakabidhiwa serikali ili iweje?
Waandishi hebu fuatilieni tuwe tunapata taarifa zilizonyooka!