Mwana Kwetu
JF-Expert Member
- Jul 12, 2011
- 652
- 562
Msaidieni huyu PhD holder naona kila kitu kwake ni siasa. Hii ni serious kwani anakataa ukweli wa wazi. Kama hamna njaa Kwa nini debe la mahindi linauzwa 20'000 na gunia la mahindi 100000 hadi 120000. Atuambie hii inasababishwa na nini. Je ngombe walioonyeshwa kwenye TV wamekufa Kwa kitu Gani?