Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 37,411
- 79,662
Komba alishadead"CCM MBELE KWA MBELE"
Komba alishadead"CCM MBELE KWA MBELE"
Habari wanaburudani, nimepokea taarifa za kusikitisha za msiba wa Producer Geof Master muda huu. Naambiwa alikua kalazwa Ocean road. Mara ya mwisho kuonana nae mitaa ya Tegeta alikuwa na uvimbe puani na alikuwa kwenye harakati za kufanyiwa upasuaji.
Naambiwa leo asubuhi amefariki. Mama yake anaishi Tegeta, naamini msiba wake pia utakuwa Tegeta. Kwa mlio mjini na mkaweza kufika msibani, tunaomba muendelee kutupa taarifa zaidi. Pumzika Pema Peponi Geof Master aka Manuva.
=======
Geof Master alisimamia wimbo maarufu wa 'Zimbabwe' wa Roma Mkatoliki pia alishirikishwa kwenye wimbo wa 'Ivan' na Roma Mkatoliki.
Geof Master ameacha watoto saba kutoka kwa mama wanne.
May he rest in peace mwambaHabari wanaburudani, nimepokea taarifa za kusikitisha za msiba wa Producer Geof Master muda huu. Naambiwa alikua kalazwa Ocean road. Mara ya mwisho kuonana nae mitaa ya Tegeta alikuwa na uvimbe puani na alikuwa kwenye harakati za kufanyiwa upasuaji.
Naambiwa leo asubuhi amefariki. Mama yake anaishi Tegeta, naamini msiba wake pia utakuwa Tegeta. Kwa mlio mjini na mkaweza kufika msibani, tunaomba muendelee kutupa taarifa zaidi. Pumzika Pema Peponi Geof Master aka Manuva.
=======
Geof Master alisimamia wimbo maarufu wa 'Zimbabwe' wa Roma Mkatoliki pia alishirikishwa kwenye wimbo wa 'Ivan' na Roma Mkatoliki.
Geof Master ameacha watoto saba kutoka kwa mama wanne.
Lazima niaminike mana ilitamba sana na nimepiga sana pesa ile ngoma bahati mbaya siku toa vidio ningemwambia aend utubu na hata audio huwez ikuta platform yoyote mana sikuwa na menejiment ila inabamba sana wakati wa uchaguzi we ngoja 2025 utaisikia inavyotamba niliua sana mule hasa pale "acha waisome namba eeh "Muhuni huyo. Wewe umemuamini kweli ?
Kweli nimeamini Sasa, mwanzoni nilijua kweli bana 😂😂😂😂😂"CCM MBELE KWA MBELE"
Kweli kabisa man, kuna ngoma kadhaa za Ngwair alimtaja, basi jamaa wa kitambo kwenye utayarishaji wa music, sema alijulikana na wachache.R. I. P Geof master, the late Ngwair alimkubali sana huyu mpishi kwenye ngoma zake nyingi....
Hata wimbo wa MWISHO wa Marehemu Ngwair ft TID-NO BEEF aliupika geof master
Wewe ni Dudu baya?R.I.P niliwah record ngoma kwake mwamba mtu poa sana, nilikuwa na k200 lakini mwamba akanitolea kitu bila malipo na ilisumbua sana ile ngoma East Africa dah pumzika salama nitaku wish sana
[ukianza kubishana na mr pipa umefanya kosa la kimkakati} mkuu naona umekalili badala yakufikiri nimesema inaitwa ccm mbele kwa mbele wewe umesema komba kafa kwan ww huwez imba afu kiitikio kikawa ccm mbele kwa mbele mbona "corona" imeibwa na wasanii zaid ya 30+ vp maana zilikuwa sawa??Komba alishadead
Mi hata sijabishana[ukianza kubishana na mr pipa umefanya kosa la kimkakati} mkuu naona umekalili badala yakufikiri nimesema inaitwa ccm mbele kwa mbele wewe umesema komba kafa kwan ww huwez imba afu kiitikio kikawa ccm mbele kwa mbele mbona "corona" imeibwa na wasanii zaid ya 30+ vp maana zilikuwa sawa??
kumbe dada demi samahani sana sikuangalia avatar forgive me sana mana kuna majamaa huwa yananikeraga sana so nikaona niishi nae tu kumbe sio ona sasa nimesahau hata kukusalimia shikamoo dada demiMi hata sijabishana
Marahaba mdogo wangu😀kumbe wewe dada samahani mana mwenzio sisomagi use name ya avata dada forgive me nikajuaga machiy flan hv dah i m sorry ona sasa nimesahau hata kukusalimia shikamoo dada demi
Sure mkuu, Geof master katengeza ngoma nyingi za Albert mangwairR. I. P Geof master, the late Ngwair alimkubali sana huyu mpishi kwenye ngoma zake nyingi....
Hata wimbo wa MWISHO wa Marehemu Ngwair ft TID-NO BEEF aliupika geof master