Jengo jeupe limejaa vibaka manzese wanawakamata,Meya amekua rais Jengo jeupe limejaa wagambo.
Mh hayo,tunashukuru kwa taarifa,mbona sioni tofauti sana na ile ya MCT?
Baada ya hizi tume kitu gani kitafuatia au ndio itaishia watu kulalamika tu.