Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,598
habari za asubuhi mabibi na mabwana.....!
tunashukuru sana kwa kuguswa kwa dhati kabisa na msiba huu wa dadaetu mpendwa
tunawashukuru sana members waliojitolea muda wao tukafanikiwa kwenda kuhani msiba huu
tunawashukuruni sana kwa sala na maombi mliyoyafanya katika nia ya kumfariji dada yetu js
tunawashukuru sana tena sana kwa namna yoyote ile ambayo wanachama wa jf walishiriki
mungu awabariki sana
MAISHA YANAENDELEA KAMA HIVI
Kwani niamba yangu mimi mwenyewe, Babu DC na bibi yao wale wajukuu wapendwa, naomba kuwashukuru nyote mlioweza kufika na kukamilisha hili jukumu muhimu sana.
Nimefarijika sana kwaba JF inawesha kumpa shavu mtu aliyefikwa na matatizo ya hii dunia. Ni jambo la faraja sana.
Asanteni kwa kutuwakilisha.
Babu DC