Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,272
- 1,034
- Thread starter
- #41
ahsante sana mzazi mwenzangu!Teamo,
Sawa Asante kwa taaharifa,lkn ombi tu ni vzr next time hata taaharifa ya kukutana pia itolewe atlest a day before,taharifa hii ningepanga jana leo ningeluwa na nafasi nzuri ya kujumika nanyi,yote ni vema Mungu awatie nanyi nguvu na maneno ya hekima na busara,tunajua sisi tulimpenda lkn yeye kampenda zaidi.Jioni Njema na uwakilishi mwema.
Regards
Lulu
PAMOJA TUTASHINDA