Kwa matazamo wangu, mtoa mada kawahi mno kutoa taarifa hasa pale tunapotambua kuwa uchunguzi unaendelea kufanyika. Wao kama sehemu ya wahusika katika sakata hili hawana sababu hata kidogo kuja kwa wananchi wanataka kujisafisha. Tusubiri wasafishwe na tume inayoendelea na uchunguzi. Mbivu na mbichi zitakuwa wazi tu muda muafaka ukifika.
Wangekuwa wawazi sana katika utendaji wao katika hiyo bandari kavu wanayo imiliki wao tungetrajai kuwa mara tu walipo gundua wao kuwa kuna upotevu wa makontena wangetoka katika vyombo vya habari kutoa taarifa hiyo. Sasa baada ya serikali kugundua huo uozo na kuanzisha utafiti wao ndo wanaanza kutoka katika media? I doubt over the gennuinity of their defence to the public.
Wangekuwa wawazi sana katika utendaji wao katika hiyo bandari kavu wanayo imiliki wao tungetrajai kuwa mara tu walipo gundua wao kuwa kuna upotevu wa makontena wangetoka katika vyombo vya habari kutoa taarifa hiyo. Sasa baada ya serikali kugundua huo uozo na kuanzisha utafiti wao ndo wanaanza kutoka katika media? I doubt over the gennuinity of their defence to the public.