Ozzie
JF-Expert Member
- Oct 9, 2007
- 3,217
- 1,259
Mkuu umeni mention kwa quote ipi?Kwa Usemi wako huu... ina maana SS Bakhresaa ana mikono mia nane na macho elfu moja na miguu 2000 ?!!?!? kazi zake supa man gani huzitimiza?
Ozzie usikurupuke uzi huu ni wa SSB.... Huyo ndg.Mpendwa HSC ni samaki mdogo sana, Yupo chini ya mwamvuli wa maswahiba !!
Nisemavo ni kwanini waanze na uchumi wa SSB huyu ni mfanya biashara mkubwa AFRICA.... ambapo wapo wakuanzia ktk viongozi na makada wa chama tawala...... na vigogo waserikali wenye biashara kinyume na sheria za utumishi wa dola.!!!!