E. J. Magarinza
Member
- Jan 13, 2011
- 37
- 10
Ndugu wana wa jf, usiku huu wabunge wa bunge letu wapo katika viwanja vya bunge wanaponda maisha. Sijafahamu sherehe waliyonayo inahusu nini hasa ila kuna kelele za muziki mtindo mmoja.
Haya yanatokea wakati wanafunzi wa udom wakiwa wamefukuzwa chuo na kunyimwa pesa za kwenda field.
Haya yanatokea wakati watanzania tunahuzuni na hasira kali kwa nchi kughubikwa na giza nene linalotokana na mgao wa umeme usijulikana utaisha lini.
Haya yanatokea wakati bunge letu likiwa limepitisha mpango wa maendeleo wa miaka mitano unaoelekeza matumizi ya serekali yasiyo na tija yaondolewa.
Inanikera sana kwa sababu pamoja na sabau nyingine, hapa chuo tunashindwa kusoma kwa sababu ya kelele za muziki kutoka viwanja vya bunge. Aghhhhhh.............
Haya yanatokea wakati wanafunzi wa udom wakiwa wamefukuzwa chuo na kunyimwa pesa za kwenda field.
Haya yanatokea wakati watanzania tunahuzuni na hasira kali kwa nchi kughubikwa na giza nene linalotokana na mgao wa umeme usijulikana utaisha lini.
Haya yanatokea wakati bunge letu likiwa limepitisha mpango wa maendeleo wa miaka mitano unaoelekeza matumizi ya serekali yasiyo na tija yaondolewa.
Inanikera sana kwa sababu pamoja na sabau nyingine, hapa chuo tunashindwa kusoma kwa sababu ya kelele za muziki kutoka viwanja vya bunge. Aghhhhhh.............