Taarifa rasmi ya CUF kuhusu Msajili kutengua matokeo ya Viongozi wa Chama hicho chini ya Prof. Lipumba

Taarifa rasmi ya CUF kuhusu Msajili kutengua matokeo ya Viongozi wa Chama hicho chini ya Prof. Lipumba

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
3,177
Reaction score
7,472
photo_2026-02-17_14-55-56.jpg

photo_2026-02-17_14-56-32.jpg

photo_2026-02-17_14-56-35.jpg
 
ndugu zangu wana CUF,
mnajipotezea muda na wakati wenyewe.
kaeni chini na kuamua mambo yenu kwa usahihi bila kukiuka misingi na sheria za chama chenu, vinginevyo mtapata tabu sana kupambana na mamalaka za serikali ambazo hazina cha kupoteza :1Head:

lkn jambo ambalo labda unasahau ni kwamba mamlaka siyo static, na yoyote yule anaweza kuwa hayo mamlaka, hao ambao wewe unawaona ni miungu na kuwasujudia kwa kuwa tu wanacommand mamlaka leo kesho wanaweza wakawa upande wa upinzani pia siajabu hata jela kama walivyomuweka Tundu Lisu na kulalamika kudai haki kama vile Tundu Lisu anavyodai haki leo hii na ninyi kumkejeli, tuliona wakati wa Magu wengi wa ccm vibope wanaotamba leo hii walikuwa upande wa upinzani mpaka wengine walikuwa kila mwaka mpya wanarusha fataki kijijini kwao bagamoyo leo hii wana mamlaka tena sherehe za mwaka mpya hatuzioni tena, hivyo waache wapambane kwani mamlaka siyo static na inaweza kwenda either way wakati wowote ule, its worth the fight ...
 
lkn jambo ambalo labda unasahau ni kwamba mamlaka siyo static, na yoyote yule anaweza kuwa hayo mamlaka, hao ambao wewe unawaona ni miungu na kuwasujudia kwa kuwa tu wanacommand mamlaka leo kesho wanaweza wakawa upande wa upinzani pia siajabu hata jela kama walivyomuweka Tundu Lisu na kulalamika kudai haki kama vile Tundu Lisu anavyodai haki leo hii na ninyi kumkejeli, tuliona wakati wa Magu wengi wa ccm vibope wanaotamba leo hii walikuwa upande wa upinzani mpaka wengine walikuwa kila mwaka mpya wanarusha fataki kijijini kwao bagamoyo leo hii wana mamlaka tena sherehe za mwaka mpya hatuzioni tena, hivyo waache wapambane kwani mamlaka siyo static na inaweza kwenda either way wakati wowote ule, its worth the fight ...
Gentleman,
hizo ramli na imani potofu dhidi ya mamlaka za dunia zimechelewesha wengi sana, huenda pia nawe ni miongoni mwao.

wakati ni sasa na kama sio sasa ni sasahivi,
ukishupaza shingo na kujipa matumani kwa kiburi nonsense utaisoma namba mno na hakuna kitu utafanya dhidi ya mamlaka za serikali :1Head:
 
Gentleman,
hizo ramli na imani potofu dhidi ya mamlaka za dunia zimechelewesha wengi sana, huenda pia nawe ni miongoni mwao.

wakati ni sasa na kama sio sasa ni sasahivi,
ukishupaza shingo na kujipa matumani kwa kiburi nonsense utaisoma namba mno na hakuna kitu utafanya dhidi ya mamlaka za serikali :1Head:

mamlaka siyo static, mwenye mamlaka leo kesho hawatakuwa nayo kwa sababu tofauti tofauti kama kwa mfano kifo ni mwisho wa wenye mamlaka ambapo kitatoa nafasi kwa wengine kuja watakao irithi mamlaka na kuiendesha kivyao pia totfauti na waliopita, hivyo ni sawa kuendelea kupambana kwa kile wanachokiamini maadamu bado wanaishi ...
 
mamlaka siyo static, mwenye mamlaka leo kesho hawatakuwa nayo kwa sababu tofauti tofauti kama kwa mfano kifo ni mwisho wa wenye mamlaka ambapo kitatoa nafasi kwa wengine kuja watakao irithi mamlaka na watakuwa tofauti na waliopita, hivyo ni sawa kuendelea kupambana ...
utachelewa mno na hizo ramli nonsense gentleman :pedroP:

na huna haja ya kubabaika au kua na kiherehere na mambo ya Mungu, kumpangia Mungu cha kufanya kuhusu waja wake ni ulofa wa kukosa maarifa na kupoteza uekekeo.

hakuna kitu wewe na mamaluki wenzako mtafanya TZ kwa maslahi ya vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi.
CUF hawana haja ya kupoteza muda kujieleza kwa umma badala ya kufuata maelekezo ya msajili
 
utachelewa mno na hizo ramli nonsense gentleman :pedroP:

na huna haja ya kubabaika au kua na kiherehere na mambo ya Mungu, kumpangia Mungu cha kufanya kuhusu waja wake ni ulofa wa kukosa maarifa na kupoteza uekekeo.

hakuna kitu wewe na mamaluki wenzako mtafanya TZ kwa maslahi ya vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi.
CUF hawana haja ya kupoteza muda kujieleza kwa umma badala ya kufuata maelekezo ya msajili

hakuna mahali nitachelewa na wala sijampangia Mungu kwani kila mtu atakufa ipo siku walio na power leo watazikwa na kusahauliwa baadaye kuja wengine watakaoshika mamlaka pia hizo ni dynamics za maisha, hivyo its worth the fight ...
 
Back
Top Bottom