NORTHERN ROCK
Senior Member
- May 2, 2012
- 108
- 124
Hiyo itakuwa kama chujio ambalo linachuja b4 haijaingia humu mmu. Thanx.
smile ni wewe au umesilimu ukabadili jina?kweli super kama leo pdidy katoa post zaidi ya 13 hadi inaboa maana watu wanashindwa kuchangia
mkuu nahitaji kujua, sina nia mbaya!
Sitaki kuwa kenge kwenye msafara wa mamba bana!
Samahani, mi mgeni, mmu ndo nini!