Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,219
- 4,725
Makamo wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango amekutana kwa mazungumzo na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Hussein Kattanga
Mazungumzo hayo muhimu yamefanyika leo Aprili 20, 2021 Ikulu ya Chamwino Jijini Dodoma.
Mazungumzo hayo muhimu yamefanyika leo Aprili 20, 2021 Ikulu ya Chamwino Jijini Dodoma.