Wizara ya Elimu
Govt Institution
- Jun 27, 2026
- 2
- 5
Total nonsense! Tangu lini Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia akaandika barua kwa kutumia letterhead ya TAMISEMI?View attachment 3619762
Mashaka yangu yapo kwenye aina ya uandishi wa barua, sababu zinazotolewa na aliyesaini barua yenyewe
SABABU ZA TAREHE YA KUFUNGULIWA SHULE KUSOGEZWA MBELE: Eti ni uchovu wa walimu na wanafunzi baada ya likizo ndefu😭🤔
ALIYESAINI BARUA HII: Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia mwenye jina la Dkt Lyabwene M Mtahabwa. Waziri wa wizara hii ni Prof Adolf Mkenda. Unless huyu ame amesaini kwa niaba. Lakini kwanini asahau kuandika hivyo kuwa amesaini kwa niaba??
Source: Page ya X-TWITTER ya Tanzania Leaks
Unakilinganisha chadema na wale wanaoingia na kura zilizopigwa tayar Kisha wanajitangaza washindi na kushangilia kama mahayawani?Hapa ndo naona CDM kama chama chenye very unprofessional .
Hali ya hatari nchini imeshatangazwa kupitia Bungeni na Waziri wa Mambo ya Mapolisi halafu nyie mnataka mikusanyiko ya watoto wetu mashuleni, vyuoni na kwingineko iendelee tu bila kuogopa hatari hiyo..?????Barua iliyosambazwa kuhusu kufungua Shule si sahihi ipuuzwe. Tunaomba Wadau wazingatie Kalenda ya Mihula ya Masomo kulingana na Waraka wa Elimu Namba 06 wa Mwaka 2025 ambao umeambatishwa.
Private mingi tar 08 tokea wanafungaIla wasingefungua shule kabla ya 7-7 sio busara wangesoma kwanza mchezo wa 77 ndio shule zifunguliwe.