Tiba
JF-Expert Member
- Jul 15, 2008
- 4,604
- 3,163
Mkuu lengo la group ni kufahamiana kiuhalisia, kuelimishana kuhusu mambo mbali mbali yahusuyo Maisha. Hizo ndio common interest tulizokuwa Nazo na doctor Huyo fake Kabla ya kumbaini ufake wake. Mtajwa alijitambulisha kazi yake Kuwa ni Daktari, lakini amefanya matendo ya utapeli. Kama ambavyo taarifa Ina jieleza
Pole ndugu zangu, kina Yahaya wako wengi hapa mjini. Sasa mmemuanika uso wake atauweka wapi?
Tiba