TAARIFA KWA SERIKALI: Bugando HospitaL total tools down kuanzia sasa..

TAARIFA KWA SERIKALI: Bugando HospitaL total tools down kuanzia sasa..

Inabidi sasa pinda achukue madaktari wengine toka magereza,..
wengine toka FFU,....
wengine toka zimamoto,...
wengine toka mgambo,...
na kwingne alikodai atapata sijui CUBA,.....

Upuuzi kweli kujidai wewe ndio wewe na bila wewe hakuna kinacho wezekana.
Nawapongeza sana madaktari ingawa binafsi ni mhanga wa mgomo wenu lakini
potelea mbali.

Pinda show us what you've got now.
Wataalam wako wa JWTZ na JKT vipi wameweza?

Yani wote hao uliyowataja ni fm4 failer na wengine std 7 wapi na wapi hapo kwenyekutibu watu. Si unajua Tz ualimu na police wanakimbilia waliofeli pia kama serikali ina hela ya kuimport ma Dr. kutoka CUBA si watumie hizo hela kuwalipa madai yao ili yaishe? Au anataka kuonyesha ubabe? Ngojea tutaona mwisho wake
 
Yaani hao jinsi ninavyomfaheemu Bw. PINDA siku akienda huko!!!!!!!!

EEEEEEHHHHH!!!! atawambia kuwa wasiporudi kazini hadi kesho asubihi atawaleta Wanajeshi toka Rwanda na Burundi kwenda for replacement.

:flypig::flypig::flypig:

MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!

Do you mean Pinda now days use Masaburi to think?
 
Hivi mpaka dakika hii Serikali bado ipo madarakani tu?
Amaa kweli Tanzania ni nchi ya amani, ndiyo pekee tuliyobaki nayo ya kujivunia.
MUNGU IBARIKI TANZANIA

Tanzania Tanzania nchi yenye mali nyingi watu wengi wa ulaya wanakulilia sana,..... Haka kawimbo mnakakumbuka lakini????
 
Wanajamvi nisaidieni wanafunzi wakigoma wanapelekewa FFU mpaka mabwenini wanapigwa mabom ya machozi kwa nn hawa madaktari hawapelekewi FFU?
 
Hivi mpaka dakika hii Serikali bado ipo madarakani tu?
Amaa kweli Tanzania ni nchi ya amani, ndiyo pekee tuliyobaki nayo ya kujivunia.
MUNGU IBARIKI TANZANIA

Nchi ya amani au ya wajinga?
 
Nilikuwa sijawai kufikiria kuandamana katika maisha yangu sasa natangaza rasmi nipo tayari,huu sasa ni uwendawazimu kama serikali imeshindwa,bunge limefungwa mdomo!nini kilichobaki!ni watanzania kujipigania,tumekuwa wapumbavu ndugu zetu wanakufa hovyo wao wanapita na vx wamefunga vioo,ni lazima tuamke sasa.
 
Wanajamvi nisaidieni wanafunzi wakigoma wanapelekewa FFU mpaka mabwenini wanapigwa mabom ya machozi kwa nn hawa madaktari hawapelekewi FFU?

subutu yao?,wajaribu kuja waone, halothane si tunayo? tuone kama wana antdote.
 
Na hospitali ya Jeshi Lugalo mgomo unanukia....
sababu- zaidi ya nusu ya madokta wao (15) wamepelekwa Muhimbili wanalipwa laki 100,000/= kwa siku hali wao hawapumui na kazi zilizo walemea.

Halafu wanalala Palm beach, hizo hela si wangepewa madaktari wanaodai?
 
Wanajamvi nisaidieni wanafunzi wakigoma wanapelekewa FFU mpaka mabwenini wanapigwa mabom ya machozi kwa nn hawa madaktari hawapelekewi FFU?
Kungekuwa na mkusanyiko Wa madaktari mahali hilo lingewezekana mkuu, ila FFU watawafata majumbani?
 
sijapata picha halisi ya nini kinaendelea hadi sasa.inawezekanaje binadamu aitwaye daktari anamuacha binadamu mwenzake aitwaye mgonjwa anafariki kwa sababu ya kukosa posho?
 
Kweli huu ni mwaka watabu kwa watawala,nahisi JK hana habari za mgomo ndo maana hajaongelea.
Hivi kun haja gani ya kuwa na baba asiye tayari kutatua matatizo ya familia yake?
 
Ndio MoU anayolalamikiaga Malaria sugu hiyo. Na kuna mengi tu serikali inachangia kanisa.
Ninachoelewa mimi ni kwamba serikali inachangia kulipa mishahara kwa wataalamu wa huduma za hospitali za Kanisa ili kuzifanya hospitali hizo zitoe huduma nafuu na zinazowafikia Watanzania walio wengi.

Kama serikali haifanyi hivyo, kanisa litaendesha kwa gharama kubwa na hivyo kufanya huduma zake ziwe ghali sana na baadhi ya wananchi kushindwa kuzimudu. Nakumbuka kuna hospitali moja Morogoro na ni ya Kanisa Katoliki lakini huduma zake ziko juu sana na wananchi wamekuwa wakiiomba serikali ichangie huduma zake ili gharama za huduma zishuke na zingine ziweze kutolewa bure na serikali imekubali kufanya hivyo.

Walau mwaka jana kupitia ITV kama sikosei msemaji wa serikali alisema wameshafanya mazungumzo na Kanisa Katoliki Morogoro na limekubali kufanya hivyo. Tukumbuke kuwa wagonjwa wanaoenda Bugando au hospitali za mission si wa kanisa ni Watanzania. Hivyo, pale ambapo kuna makubaliano ya kufanya huduma kama hizi ziwafikie wananchi wengi zaidi sidhani kuna ubaya wowote wa kufanya ubia isipokuwa baadhi ya wachangiaji wanapenda kuchangia kitu bila kujua undani wake ili waweze ku'speculate' vizuri right and left na waonekane wamechangia hoja! Na wale wanaokomalia MoU ni wale wanaoona wivu kuwa makanisa yanatoa huduma za jamii kiuhakika na kundi fulani wao wanakalia tu kuongeza nyumba zao za ibada. Lakini Rais Jakaya Kikwete alilitolea ufafanuzi mzuri suala hili alipokuwa akihutubia waislamu. Alisema: "Wenzenu wameomba wakapewa. Nyinyi mnakalia kulalamika tu bila kuomba ili mpewe ili mjenge mahospitali na mashule. Tutaendeleza ushirikiano kati ya serikali na taasisi za kidini katika kutoa huduma za kijamii maana tukisema tufanye kila kitu peke yetu tutashindwa."
 
Nani anajivunia kuwa mwanachama wa chama hiki kinachoongoza hii serikali aje atuambie chama chake kimechukua hatua gani kushughulikia suala hili la mgomo wa madaktari?
 
Back
Top Bottom