TAARIFA KWA SERIKALI: Bugando HospitaL total tools down kuanzia sasa..

TAARIFA KWA SERIKALI: Bugando HospitaL total tools down kuanzia sasa..

attachment.php
 
tuliambiwa kuichagua ccm ni janga la kitaifa tukajifanya hamnazo, sasa tuache kupiga kelele, acha ccm itunyooshe hadi miaka 4 ikiisha na akili zitakua zimekaa sawa. tukienda ktk uçhaguzi mwingine tutakua wasikivu kidogo.
 
SErikali ikiambiwa iko lege lege inakataa. JEI KEI yuko wapi aokoe hili jahazi? Mbona mambo yote yanawezekana? Mbona tulikuwa tunalipa Richmond kila siku milioni mia na usheeee?
bado mnamwita jk tu? Huyo siyo wa msaada tena kwa walala hoi na
 
Bugando iko chini ya kanisa katoliki, sijui kama nao wanagoma ili wapewe posho na serikali. Hata hivyo mwenye taarifa zaidi atujuze!

Mkuu Kengemumaji,
Mi nimeshawai kufanya kazi pale Wizara ya Afya. Katika ile MoU kati ya serikali na taasisi za dini hususani (Lutheran and Roman Catholic) walichokubaliana pamoja na mambo mengine ni serikali kupeleka dawa katika hospitali husika, kusaidia kutoa raslimali watu (Madaktari), kulipa mishahara ya baadhi ya watumishi na kuchangia kwenye Operating cost (OC) za Hospitali.

Kwa hiyo katika kesi ya Bugando, KCMC, DDH (Desgnated District Hospital mfano Bunda DDH, etc) na VAH (Voluntary Agency Hospital mfano Peramihyo Hospital, etc) ni kwamba kuna kiasi cha Madaktari ambao wameajiriwa na serikali kupitia Wizara ya Afya. Hawa wanalipwa mshahara na Serikali na wapo kwenye Payroll kuu ya Serikali na wanastahili zote kama mtumishi mwingine wa serikali mfano Kiinua mgongo na Pension.

Kwa hiyo hawa ndio chanzo cha Mgomo. Na serikali iliamua isaidie Hospitali hizi za mashirika ya dini katika maeneo hayo ili ku make sure price za huduma zao zipo chini ili wananchi wa kawaida waweze kupata huduma ya Afya. Bila hivyo hizi hospitali zingekuwa kama Agha Khan Hospital, Regency, nk na sijui kama kuna Mtanzania wa kule Mwanza ilipo Bugando au Mtanzania wa Mbinga ilipo Peramihyo kama wangeweza ku aford gharama za hizo Hospitali kama zisingesaidiwa na serikali ku cover cost katika maeneo hayo.
 
Kuna mtu anaitwa KAKAKUONA40 humu jamvini, ni KU+*MA, MSE*.*NGE ana FI<*LWA NA WACHAWI PIA NA M*BWA.. Mchonganishi wa dini. M*.BWA mkubwa we.
Kuna wakati inabidi tukubaliane kutokukubaliana............ MATUSI NI MWISHO WA UWEZO WA KUFIKIRI WA MTU YEYOTE YULE
 
Si shangai. Kama hospital za kidini zinaua watu kwa manufaa ya kisiasa. Lakini hata rwanda yalitokea mauji kama haya

Mkuu usichangenye mambo. Waliogoma ni Madaktari vsiyo Hospitali. Na ukumbuke kwamba Madaktari wanaogoma kwenye hizi Hospitali za Mashirika ya dini ni wale walioajiriwa na Serikali kuu kupitia Wizara ya Afya (Seconded Doctors). Hawa ni watumishi wa serikali kama walivyo watumishi wengeni wa serikali waliopo Wizarani na kwenye Halmashauri. Hata mishaara wanalipwa na Serikali. Hawalipwi na Hospitali. Wapo pale kutokana na MoU iliyosainiwa between the Gvt of Tz na Mashirika ya dini ili kuwezesha Hospitali hizo kutoa huduma at cheap price.
 
Ndugu zangu waislamu, hapa ndo pakuchukulia point,.............. TOENI MADAKTARI TOKA KWENYE HOSPITALI ZINAZOMILIKIWA NA MISISKITI MKAWATIBU WATU BUGANDO NA KWINGINEKO WALIKOGOMA

Thank you sir! You have just made my day!
 
Haya ni maajabu ya dunia,yaani mpaka leo serikali ya CCM bado iko madarakani,kweli aliyewaroga wabongo hayupo kwenye sayari hii.
Waarabu nao walionekana kama wamerogwa ila siku walipo zinduka....mnajua kilichotokea na kinachoendelea kutokea...Ipo siku, na si nyingi kwa upepo huu
 
Inabidi sasa pinda achukue madaktari wengine toka magereza,..
wengine toka FFU,....
wengine toka zimamoto,...
wengine toka mgambo,...
na kwingne alikodai atapata sijui CUBA,.....

Upuuzi kweli kujidai wewe ndio wewe na bila wewe hakuna kinacho wezekana.
Nawapongeza sana madaktari ingawa binafsi ni mhanga wa mgomo wenu lakini
potelea mbali.

Pinda show us what you've got now.
Wataalam wako wa JWTZ na JKT vipi wameweza?

nimesoma sehemu eti kun madaktari kutoka china,sina uhakika na hili lakini
 
Bugando na KCMC ni hospitali za kanisa naomba maelezo wanaingiaje kwenye mgomo huu sambamba na Muhimbili na hospiali zingine za umma? Napata shida kupata tafsiri yake.

Soma my coment number 116 na 120!

 
Damn afu nina tumbo la kuhara, hivi Wabunge hawawezi kutibu??
Kama hawawez wabadilishane posho na madokta

Wawezi wapi hao wanaotunyesha dhahiqi hawana umuhimu kwetu!
 
Kivipi mmiliki ni mwingine na mwajiri mwingine? Fafanua. Naomba radhi kama nakukwaza lakini nataka kuelewa tu

Hilo swali lako la kwa nini Mmiliki ni mwingine na mwajiri mwingine ndiyo miongoni mwa sababu ya kusaini MoU!
 
Back
Top Bottom