Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 71
jaribuni kujitokeza na kuleta vurugu mkione cha mtema kuni wanga nyie.mnakula mishahara bila kuifanyia kazi.upupu kabisa nyie
wewe ni kile kiungo cha nyuma kinachotumika kutoa uchafu mwilini.af unafikiri kwa kutumia vile viungo vinavotumika kukalia.
when you solve one problem blindly you creat seval problems!!
Asshole, u sonofbtch Likikwete halina roho ya ubinadamu hata nukta, linakaa tu kuchekacheka kaa taahra watu wanakufa bado tu limeunyuti, Kikwete is a tragedy that Tanzania will find it diffcuilt to 4get
Duh! Hayo malipo ya 100,000/= kwa siku ni extra durty allowance au? Mbona madaktari wakidai angalau nusu per diem
Hivi mpaka dakika hii Serikali bado ipo madarakani tu?
Amaa kweli Tanzania ni nchi ya amani, ndiyo pekee tuliyobaki nayo ya kujivunia.
MUNGU IBARIKI TANZANIA
Tatizo mtapanga kuingia mtaani, halafu kina FF watawataambia wengine (wenzao) wasishiriki kwasababu ni mbinu za makafiri kumtoa JK madarakani.Mimi naona wana JF tuingie mtaani wenyewe labda wa tz watazinduka,maana kama ni nondo za uhamasishaji tukiwa kwenye keyboards tumezishusha mno lakini watz hawaelewi ndo kabisaaaa wengine wanaishia kusombwa na mafuso kwenda kula ubwabwa na wanaishia kutelekezwa.
Nafikiria serekali iakte mirija yote inayoelekea makanisani. Kwani isipofanya hivyo taifa litaangamia. Kama bugando hopsital ya kanisa inagoma kwa kuwa rais aliepo madarakani ni muislam. Nchi imeisha
thanks mkuu, umezipanga zikapangika.
maisha ya kila siku bila JF ni kazi bure.
Kumbe....... I had seen a number of TPDF uniforms around palm beach hotel nikafikiri wako kwenye mkutano kumbe wanalamba ambacho kingetumika kuzuia mgomo shame.Halafu wanalala Palm beach, hizo hela si wangepewa madaktari wanaodai?
Hivi mkulu wetu si ni Dr JMK.....
Mkuu,madaktari wengi pale bugando wanalipwa kwa ruzuku ya wizara ya afya.so huu wizi unawahusuBugando na KCMC ni hospitali za kanisa naomba maelezo wanaingiaje kwenye mgomo huu sambamba na Muhimbili na hospiali zingine za umma? Napata shida kupata tafsiri yake.