serikali imeingia mkataba na hospitali za dini katika kutoa huduma za kiafya {public private partnership} katika muungano huo serikali inatoa ruzuku,kusupply madawa pamoja na kuajiri madaktari.kwa hiyo madaktari walioko kcmc pamoja na bugando ni waajiriwa wa wizara ya afya na wanafanya kazi chini ya muongozo wa wizara kwa hiyo na wao ni victims wa madhira yanayowapata madaktari wengine ndo maana nao wako katika mgomo.kwa hiyo hapa swala si kanisaKanisa ndio linatibu?