TAARIFA KWA SERIKALI: Bugando HospitaL total tools down kuanzia sasa..

TAARIFA KWA SERIKALI: Bugando HospitaL total tools down kuanzia sasa..

Kivipi mmiliki ni mwingine na mwajiri mwingine? fafanua. Naomba radhi kama nakukwaza lakini nataka kuelewa tu

Ndio MoU anayolalamikiaga Malaria sugu hiyo. Na kuna mengi tu serikali inachangia kanisa.
 
Kauli ya Mkuu wa Nchi na Serikali. Anayo kauli mkuu kweli akose kauli.

Hivi kweli Bugando si ni hospitali ya Kanisa imekuwaje na wao wanagoma tena?

Tukumbuke Dr. Ulimboka sio mwajiriwa wa serikali. Anapigania maslahi ya watu(madaktari na wananchi) huku akijua huenda yeye binafsi asiwe mnufaika wa moja kwa moja. Na hawa madaktari wa hizi hospitali, mgomo wao ni ktk kuwaunga mkono wenzao. Kwa tafsiri nyingine, ikiwa huduma za afya zitaboreshwa ktk vituo vyetu vya kutoa huduma (ikiwa ni pamoja na maslahi ya watumishi hawa), sitegemei kama kuna mtu atakuja huku kuhoji kama hosp. fulani ni ya dini au la. Tutaishia kuchekelea tu na kuwasifu hawa madaktari.
 
Ni hospitali zote za kanisa ziko kwenye mpango wa MOU au za rufaa tu kama Bugando, KCMC, Bombo na Peramiho. kuelewa mambo kunaepusha shari nataka kufahamu kwa faida ya kuepuka kudanganywa.
 
Bugando iko chini ya kanisa katoliki, sijui kama nao wanagoma ili wapewe posho na serikali.... hata hivyo mwenye taarifa zaidi atujuze!

Mbona watu wengi mnakomalia sana swala hili la posho, au mmesahau madai mengine ya wataalam hawa?
 
kumekuwa na taarifa za kuwepo kwa kikao cha madaktari wakazi (resident) na interns ambao bado walikuwa wanaona wagonjwa wa dharura sasa wameamua kuacha kila kitu na kuamua kutoa mtangazo.

Kkatika mbao za matangazo kuwa leo hakuna kazi huku kukiwapo na taarifa madaktari bingwa wa hospitali hii wamekuwa wakionekana katika makorido ya hospitali hiyo wakijadili mgomo na kuwepo kwa tetesi kuwa walikuwa na mpango wa kukaa kikao cha kujadili mgomo na kuweka tool down..


Naomba kuwasilisha

bugando ni hospitali ya kanisa! Inatuhusu nini sisi? Chukueni michango ya waumini muwalipe madaktari mmezoea kuchukua pesa za serikali kushughulikia kanisa. Soon mtarealize kuwa mwisho wenu waja,
everything will come to an end. Imeanza kwa russia na china veto yao dhidi ya wauaji wa magharibi, sasa itakuja hapa bongo mtafute pa kwenda
 
Serikali na bunge kwa maafikiano wamefuta posho za wabunge kwa tangazo la Naibu Spika, Job Ndugai jana, ni budi sasa madaktari nao wakafuta mpango wao wa madai ya nyongeza za posho kama walivyofanya wenzao wabunge na kurudi kazini.
Mbona sielewi unachokiandika hapa!?
 
Bugando iko chini ya kanisa katoliki, sijui kama nao wanagoma ili wapewe posho na serikali.... hata hivyo mwenye taarifa zaidi atujuze!
KCMC, Bugando, Peramiho na hospitali nyingi za makanisa zina madactari wa serikali na wale walioajiriwa na makanisa. Hivyo moja ya michango ya serikali katika kundesha hospitali hizo ni kutoa madactari na wataalam wengine wa afya!
 
2012.......................taalaaliila talalila...mambo baado.........!!
 
Ni hospitali zote za kanisa ziko kwenye mpango wa MOU au za rufaa tu kama Bugando, KCMC, Bombo na Peramiho. kuelewa mambo kunaepusha shari nataka kufahamu kwa faida ya kuepuka kudanganywa.

Hata ukielewa huenda isiwe na manufaa yoyote kwako.
Kwanza ingekuwa vema ukauliza ikiwa watu wanaopata huduma huko ni wakristo peke yake.
Nijuavyo mimi huduma inatolewa kwa watanzania wote, bila kujali kama mtu ana dini au hana.

Mi nadhani tungejikita zaidi katika hili tatizo tulilonalo, badala ya kuangalia vitu kama MOU. Kwani inahusiana nini na mgomo huu.
 
ndugu yangu. Hii ni ajenda ya kanisa tu, hukumbuki mzee mwinyi? Mkapa si unaona tanzania ilikuwa mlo mara 1000 hapa. Maisha mazuri tu. Akija muislam si mnajuwa?

Huu ni ujinga kama siyo upumbavu!
 
Nafikiria serekali iakte mirija yote inayoelekea makanisani. Kwani isipofanya hivyo taifa litaangamia. Kama bugando hopsital ya kanisa inagoma kwa kuwa rais aliepo madarakani ni muislam. Nchi imeisha

Wewe MS acha udini wako hapa. FYI, sio waajiriwa wote walioko BMC ni wa Kanisa. Majority ya waajiriwa walioko BMC ni wa Serikali, wanalipwa mishahara na posho zao kutoka serikalini.

Lakini MS, kwanini usiwashawishe waislamu wenzako kwanza wasusie hizo hospitali za Kanisa? Halafu hivi hao madaktari wote waliogoma nchi ni Wakristu TU? Mbona una udhalilisha Uislamu wakati Mtume Mohammed SAW alitu amrisha tuitafute ELIMU hadi U-CHINA. I believe wapo Waislamu wanaoweza kuwa Madaktari.
 
Ni hospitali zote za kanisa ziko kwenye mpango wa MOU au za rufaa tu kama Bugando, KCMC, Bombo na Peramiho. kuelewa mambo kunaepusha shari nataka kufahamu kwa faida ya kuepuka kudanganywa.

Ni hospitali zote za kanisa hata vijidispensary, maduka ya madawa, na makanisa pia yapo kwenye mpango huu wa serikari, Hata wewe kama Mbuzi katoliki basi automatically unaingia katika mpango huu. mshukuru mfu kwa kuwaweka juu.
soon you will realize that you come to an end
 
tools down maanake wamegoma kuendelea na kazi. Kichwa cha habari "Bugando hospital total tool down kuanzia sasa" ni cha udaku lakini maelezo yanaonyesha bado wako kwenye mkutano na maazimio hayajatoka. badilisha kichwa cha habari ni cha uchochezi.

Mkuu sipendi kuingiza ushabiki katika mambo ya msingi. kikao kimekwisha na maamzi ndiyo hayo na matanga*zoyamekwisha bandikwa katika mbao za matangazo na wakuu wa idara wamepewa.
 
Kivipi mmiliki ni mwingine na mwajiri mwingine? fafanua. Naomba radhi kama nakukwaza lakini nataka kuelewa tu

Madaktari wengi kwa idadi kubwa hufanya kazi kwenye Hospitali teule au Hospitali za rufaa za makanisa huku wakilipwa na Serikali, hii haimaanishi kuwa wameajiriwa na kanisa na hata wakishindana hapo basi hurudishwa serikalini tayari kupangiwa kituo kingine, mfano angalia pale KCMC Mkurugenzi Prof Shayo alipowakashifu madaktari wake waliotoka serikalini kuwa wanachukua rushwa bila ushahidi, Walimfungulia kesi yeye akiwa mshitakiwa wa kwanza na kanisa "Good samaritan" akiwa mshitakiwa wa pili...sijui kesi hii iliishaje
 
kwa hili nafikiri watz tusubiri angamio letu...na viongozi wetu wqnqojali posho kuliko maisha ya wapiga kura wake:A S embarassed:
 
Bugando iko chini ya kanisa katoliki, sijui kama nao wanagoma ili wapewe posho na serikali.... hata hivyo mwenye taarifa zaidi atujuze!


Ni kweli bugando ni ya kanisa katoliki kama ilivyo KCMC kwa KKKT lakini kutokana na ile kitu inaitwa memorandum of understanding madaktari wa hospitali hizo wanalipwa na serikali mshahara wa serikali so usishangae ukisikia madaktari wa hospitali hizo nao wamegoma hawalipwi na kanisa.
 
Bugando ya kanisa ila madaktari wa serikali, sasa serikali itakaa chini na madaktari na kuongea nao, Dk. Mponda aondoke tu hana maana hata kidogo, bora kuwa na wairi asiye daktari
 
poleni sana WATANZANIA WENZANGU, lakini hakuna namna , lazima tupitie mambo magumu kuelekea ukombozi kamili

404284_342205012469229_100000391994771_1103093_1884948629_n.jpg
 
Back
Top Bottom