Taarifa kutoka Ofisi ya RC Makonda

Taarifa kutoka Ofisi ya RC Makonda

Ameanza ku panic. Wale wote aliowavunjia heshma na kuwaita wauza madawa atakutana nao mitaani muda si mrefu. Ikumbukwe atakua hata ule ulinzi wa askari nane mpaka ishirini
 
Hii sinema ya Makontena, Makonda na Magufuli wanajua sana kuchezea watanzania.

Pamoja na yote, nampongeza Mpango kwa kusimama kidete katika kuhakikisha sheria ya kodi inafuatwa kwa kila mtanzania.

Tunajua lile Hotel la Jiwe Pale Mwanza lilikuwa lina subiri kontena lishushwe.

Sasa Jiwe na Mwanao najua mnatafuta pakutokeaa!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama nataka kukuelewa hv ongeza nyama ututoe tongotongo mkuu
Kumbe hii ni dramaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiwa huna akili kichwani na ukiwa bingwa wa kufoji vyeti utaendelea kuwa kituko.
 
Me nlidhani ni taarifa ya kuwa ameshalipa kodi na makontena yameachiwa hivyo vifaa vimeanza kusambazwa shule za msingi na sekondari dsm zipatazo 200!
 
TAARIFA MUHIMU KUTOKA OFISI YA RC MAKONDA

Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam inashangazwa na taarifa zinazo sambaa mtandaoni juu ya kuwepo kwa Mkutano wa Mkuu wa Mkoa, Mh. Paul Makonda na waandishi wa habari siku ya leo tarehe 31/08/2018 katika Hoteli ya Serena muda wa saa sita mchana.
Taarifa hizo hazina ukweli wowote .

Pia Mh Makonda anasikitishwa kuwepo kwa akaunti mbalimbali za mitandao ya jamii ikiwemo Twitter, Instagram na Face book zinazotumia majina yake na kusambaza mitandaoni taarifa mbalimbali ambazo kwa namna moja au nyingine zinajenga au kumoboa na moja kwa moja kumhusisha yeye. Akaunti pekee ya mawasiliano binafsi ni akaunti ya instagram yenye jina baba_keagan na si hizo nyingine.

Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa anaendelea na majukumu yake ya kila siku kama kawaida, anakaribisha wakazi wote waendelee kuja kupata huduma katika ofisi zake na zile za wilaya zake zote.

Mwisho Mkuu wa Mkoa ana kusisitiza wananchi wote kuendelea kuunga mkono jitihada za serikali ya awamu ya tano chini ya Dr John Pombe Magufuli katika kuwaletea maendeleo watanzania wote katika nyanja zote.

Asanteni.

Imetolewa na Kitengo cha Habari,
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa,
Dar es Salaaam.

Sent using Jamii Forums mobile app
.
IMG-20180831-WA0064.jpg


Jr[emoji769]
 
Katika hali isiyo ya kawaida jana katika mitaa ya kinondoni hasa mitaa ya Ufipa(makao makuu ya wauza madawa ya kulevya) kumesikika miziki na watu wakinywa pombe sana huku wakishangilia taarifa ya Makonda kukemewa na rais kuhusu suala la makontena.

Wauza madawa hawa wanaona muda wa Makonda kuondoka Dares salaam umefika hivyo kuwaachia uhuru wa kufanya biashara yao bila kubanwa.

Ikumbukwe tu kuwa biashara ya madawa ya kulevya haiathiri Makonda wala familia yake ,hao hao mnaoshangilia watoto wenu na ndiyo watatumia hayo madawa na kuwa vibaka wa kuja kuwaibia huko na wengine watakuja kuwa mazezeta.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
TAARIFA MUHIMU KUTOKA OFISI YA RC MAKONDA

Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam inashangazwa na taarifa zinazo sambaa mtandaoni juu ya kuwepo kwa Mkutano wa Mkuu wa Mkoa, Mh. Paul Makonda na waandishi wa habari siku ya leo tarehe 31/08/2018 katika Hoteli ya Serena muda wa saa sita mchana.
Taarifa hizo hazina ukweli wowote .

Pia Mh Makonda anasikitishwa kuwepo kwa akaunti mbalimbali za mitandao ya jamii ikiwemo Twitter, Instagram na Face book zinazotumia majina yake na kusambaza mitandaoni taarifa mbalimbali ambazo kwa namna moja au nyingine zinajenga au kumoboa na moja kwa moja kumhusisha yeye. Akaunti pekee ya mawasiliano binafsi ni akaunti ya instagram yenye jina baba_keagan na si hizo nyingine.

Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa anaendelea na majukumu yake ya kila siku kama kawaida, anakaribisha wakazi wote waendelee kuja kupata huduma katika ofisi zake na zile za wilaya zake zote.

Mwisho Mkuu wa Mkoa ana kusisitiza wananchi wote kuendelea kuunga mkono jitihada za serikali ya awamu ya tano chini ya Dr John Pombe Magufuli katika kuwaletea maendeleo watanzania wote katika nyanja zote.

Asanteni.

Imetolewa na Kitengo cha Habari,
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa,
Dar es Salaaam.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tuna uhakika gani kama na huu sio uzushi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii sinema ya Makontena, Makonda na Magufuli wanajua sana kuchezea watanzania.

Pamoja na yote, nampongeza Mpango kwa kusimama kidete katika kuhakikisha sheria ya kodi inafuatwa kwa kila mtanzania.

Tunajua lile Hotel la Jiwe Pale Mwanza lilikuwa lina subiri kontena lishushwe.

Sasa Jiwe na Mwanao najua mnatafuta pakutokeaa!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Key words: Hotelpale mwanza
 
Clever but not intelligent.... Ma K himself is behind all those said to be fake accounts...

Jr[emoji769]
 
Back
Top Bottom