Taarifa kutoka Ofisi ya RC Makonda

Taarifa kutoka Ofisi ya RC Makonda

DAB anamtaja sana Mungu katika maongezi yake anawafananisha wengine sawa na mbwa mwitu,wakati yeye ndio mbwa mwitu aliejivika ngozi ya Kondoo,wamejenga ofisi mashuleni akishirikiana na jamaa zake ili fenicha zipite bure kwa mgongo wa ofisi,kweli mjini shule Nimemkumbuka manzi wangu chuo wakat tunazozana kuhusu kumpatia fedha ya mahitaji yake akanambie "hapa hakuna K ya bure.
 
Matoa mada ana cheo gani kwenye hiyo ofisi?
 
Katika hali isiyo ya kawaida jana katika mitaa ya kinondoni hasa mitaa ya Ufipa(makao makuu ya wauza madawa ya kulevya) kumesikika miziki na watu wakinywa pombe sana huku wakishangilia taarifa ya Makonda kukemewa na rais kuhusu suala la makontena.

Wauza madawa hawa wanaona muda wa Makonda kuondoka Dares salaam umefika hivyo kuwaachia uhuru wa kufanya biashara yao bila kubanwa.

Ikumbukwe tu kuwa biashara ya madawa ya kulevya haiathiri Makonda wala familia yake ,hao hao mnaoshangilia watoto wenu na ndiyo watatumia hayo madawa na kuwa vibaka wa kuja kuwaibia huko na wengine watakuja kuwa mazezeta.



Sent using Jamii Forums mobile app
Pamoja na mikwala yoote ile bado kuna wauza madawa?? Pumbavu kabisa nyinyi inawezekana na wewe ni pusha shubaaamiti

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona hajatueleza kama atalipa kodi au la?

Na je asipolipa kodi na hayo makonteina yakauzwa, watakaoyanunua bado watapata laana?
 
Saivi ndo kajua kutumia kitengo cha habari
Kwanini Mwanzo alikuwa anawatumia akina lemutuz kujibu mambo ya ofisi ya mkoa
Au ndo saiz akili zimekaa sawa.!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Gerson Msigwa anachelewa Sana aisee.
Toka jana nimekaa standby nasubiri ashushe madude lakin wapi
 
Katika hali isiyo ya kawaida jana katika mitaa ya kinondoni hasa mitaa ya Ufipa(makao makuu ya wauza madawa ya kulevya) kumesikika miziki na watu wakinywa pombe sana huku wakishangilia taarifa ya Makonda kukemewa na rais kuhusu suala la makontena.

Wauza madawa hawa wanaona muda wa Makonda kuondoka Dares salaam umefika hivyo kuwaachia uhuru wa kufanya biashara yao bila kubanwa.

Ikumbukwe tu kuwa biashara ya madawa ya kulevya haiathiri Makonda wala familia yake ,hao hao mnaoshangilia watoto wenu na ndiyo watatumia hayo madawa na kuwa vibaka wa kuja kuwaibia huko na wengine watakuja kuwa mazezeta.



Sent using Jamii Forums mobile app
Zero brain = 2 U
 
wakati mwingine tunabaki tukishangaa tusielewe kinachoendelea hapa haa
 
Kama nataka kukuelewa hv ongeza nyama ututoe tongotongo mkuu
Kumbe hii ni dramaa

Sent using Jamii Forums mobile app
ulikuwa wapi hujui kuwa kule kwenye mawe kumewekwa uwanja wa ndege kwa ajili ya ufahari wa jiji ili mambo ya utaqlii yangare uko halafu mambo yao yawatokeee hujui hilo bestito hahaaaaaaaaaaaaaa MAMBO YAMEIVAAA
 
“Akaunti pekee ya mawasiliano binafsi ni ya Instagram kwa jina la Baba Keagan.”

Akaunti binafsi ya baba Keagan haitakiwi kuongelewa kwenye statement ya ofisi.

Yani pale mkoani Ilala hakuna msomi wa kumwambia Makonda mambo yako ya baba Keagan hayatuhusu, acha kuchanganya mambo yako binafsi na yale ya umma.

Kama walishindwa kumshauri kwenye makontena watamshauri nini tena?
 
Back
Top Bottom