Jay One
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 16,853
- 16,750
hamna namna au sehemu ya kwenda kukata rufaa kwa haya maamuzi...
Sio kila kitu kina rufaa..!! Ingekuwa hivyo basi KIFO kila mtu angekata rufaa..!!
Hawa matapeli na wezi wamecheza sana na uhai, afya na maisha ya watanzania.. sasa Serikali yetu makini ya Mh. Rais wetu Magufuli imewaona.. na wengine watafuata..!!
Majizi sana haya..!!