Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 19,695
- 59,850
Nimeambatanisha Ripoti ya mapendekezo ya Kamati. Lakini nitayaorodhesha mapendekeo hayo hapa:-
Mambo hayo 18 ndiyo yaliyotolewa mapendekezo
- Kuhusu Mikutano ya hadhara na Mikutano ya ndani ya Vyama vya Siasa
- Kuhusu demokrasia ndani ya vyama vya siasa
- Kuhusu ruzuku kwa vyama vya siasa inayotolewa na Serikali.
- Kuhusu uhuru wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi.
- Kuhusu uteuzi wa wajumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi.
- Kuhusu matokeo ya uchaguzi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuhojiwa Mahakamani.
- Kuhusu watendaji wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi
- Kuhusu Bajeti ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi.
- Kuhusu Sheria zinazosimamia masuala ya uchaguzi.
- Kuhusu matumizi ya TEHAMA katika uchaguzi.
- Kuhusu ushiriki wa Wanawake katika Siasa, Demokrasia na Uongozi.
- Kuhusu ushiriki wa Watu Wenye Ulemavu katika Siasa, Demokrasia na Uongozi.
- Kuhusu ushiriki wa vijana katika Siasa, Demokrasia na Uongozi.
- Kuhusu elimu ya uraia.
- Kuhusu suala la kuzuia na kupambana na Rushwa katika Siasa na Uchaguzi.
- Kuhusu mfumo wa maridhiano ili kudumisha haki, amani, utulivu na umoja wa kitaifa.
- Kuhusu uhusiano wa mawasiliano kwa umma, vyombo vya habari na siasa.
- Kuhusu Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Mambo hayo 18 ndiyo yaliyotolewa mapendekezo