Mparee2
JF-Expert Member
- Sep 2, 2012
- 2,586
- 4,274
Nimekuwa napita kwenye taa za barabarani maarufu ka traffic light Naona zimekuwa ni kero saana kwani zina fanya barabara kuu highway itumike muda mfupi sana.
Na maanisha kwa barabara zimekutana kama cross (jumlisha) barabara hufungwa karibia masaa sita kwa siku ( kila moja)
Hii ni upotevu mkubwa wa muda na rasmali watu, na pukunguza uzalishaji.
HUWA NAJIULIZA:
1. Hivi hawa wataalam wetu wameshindwa kuweka sensor itakayo fanya taa iwashe ule upande wenye magari/mengi kwa muda mrefu zaidi, na kama upande hauna magari haiwashi au kama gari moja likipita inazima na kuwasha pengine.
2. Hivi wataalam wameshindwa kufanya tu timing kwa taa zilizopo karibu karibu kuwa, wakati ya kwanza ina zima ya mbele yake iwake ili watu wasisogee dakika moja na kusimama tena.
3. Kama hatuwezi kupata hizo solution kwa mtazamo wangu wangetoa baadhi ya taa ziende makumbusho, badala yake waweke tu Round about na pengine kubwa kama ile ya Msamvu, Morogoro. pale ni hub kubwa ila hakuna traffic jam hata siku moja.
Tatizo letu tunasubiri kila kitu hadi wazungu waanze, we don't think out of box zaidi utashangaa eti mtu wa University anasema amegundua gari/ndege/etc with 25% efficiency?
Badala ya kubuni vitu/technologia mpya ya kurahishia watu maisha.
Na maanisha kwa barabara zimekutana kama cross (jumlisha) barabara hufungwa karibia masaa sita kwa siku ( kila moja)
Hii ni upotevu mkubwa wa muda na rasmali watu, na pukunguza uzalishaji.
HUWA NAJIULIZA:
1. Hivi hawa wataalam wetu wameshindwa kuweka sensor itakayo fanya taa iwashe ule upande wenye magari/mengi kwa muda mrefu zaidi, na kama upande hauna magari haiwashi au kama gari moja likipita inazima na kuwasha pengine.
2. Hivi wataalam wameshindwa kufanya tu timing kwa taa zilizopo karibu karibu kuwa, wakati ya kwanza ina zima ya mbele yake iwake ili watu wasisogee dakika moja na kusimama tena.
3. Kama hatuwezi kupata hizo solution kwa mtazamo wangu wangetoa baadhi ya taa ziende makumbusho, badala yake waweke tu Round about na pengine kubwa kama ile ya Msamvu, Morogoro. pale ni hub kubwa ila hakuna traffic jam hata siku moja.
Tatizo letu tunasubiri kila kitu hadi wazungu waanze, we don't think out of box zaidi utashangaa eti mtu wa University anasema amegundua gari/ndege/etc with 25% efficiency?
Badala ya kubuni vitu/technologia mpya ya kurahishia watu maisha.