Kiraka Kikuu
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 5,903
- 1,983
Hii ni ABRAKADABRA!!
Sikubaliani hata kidogo na matokeo niliyoyaona gazeti la leo la mwananchi kwani hao waliotolewa wote ni kwasababu ya kujuana na urafiki na kupigiana promo, mimi nasema huo ni utafiti feki mimi DEOGRATIUS KISANDU ndiye ninaye ongoza mpaka sasa kwa asilimia 35% lakini ukweli umefichwa.
Tuweke masikhara pembeni, we jamaa siyo mzima.
hivi wewe una akili kweli? Au unatafuta umaarufu? Duh! Na waliokupa cheo NCCR wana kazi...
Ana matatizo ya ubongo. Sijui Mbatia alifikiri nini kumpa uongozi!Hivi upo sawa kweli kichwani?Npata mashaka kidogo.
Sikubaliani hata kidogo na matokeo niliyoyaona gazeti la leo la mwananchi kwani hao waliotolewa wote ni kwasababu ya kujuana na urafiki na kupigiana promo, mimi nasema huo ni utafiti feki mimi DEOGRATIUS KISANDU ndiye ninaye ongoza mpaka sasa kwa asilimia 35% lakini ukweli umefichwa.
Wewe ni MWEHU!!!
...kitufe cha like kingekuwa kinagongeka zaidi ya mara moja ningekipiga hata mara kumi,umemaliza kila kitu hata hamna haja ya kuchangia huu uzi !!Tuweke masikhara pembeni, we jamaa siyo mzima.