Synovate: Vinara tisa urais 2015

Synovate: Vinara tisa urais 2015

Mwananchi ni gazeti la UDAKU !!!! Nawashangaa wale ambao mnaendelea kulinunua na kulisoma.
 
Hakuna utafiti hapa bali mwendelezo wa siasa za bei poa.
 
Hawa wametumwa ili tu kutuondoa Watz kwenye hoja za msingi kama kujadili matokeo mabovu ya form 4, hali ya ulinzi na usalama na vitu vinavyogusa maslahi ya nchi, wakijua kabisa kuwa sisi wabongo ni watu wa kutuondoa kwenye hoja kwa kutuletea tu hoja mpya ili tuisahau hoja ya mwanzo...kyenzi kabisa hawa.....ptuuuuuu.....
 
Nimeusoma kwa makini utafiti huo wa synovate na kugundua kuwa taasisi hiyo inaelekea kutumiwa na magamba!

Sababú zangu za kusema hivyo ni kama zifuatazo, wameleza kuwa ingawa Dr Slaa anaongoza kwa umaarufu hivi sasa lakiní umaarufu huo umeshuka toka asilimià 42 ya mwaka2011 hadi asilimià 17 za mwaka 2012, bila kueleza wametumia sample ya aina ganí katika utafiti huo!

Wakati Huo Huo wanasemà umaarufu wa CCM umeongezeka kwa kuwa watu wanaopenda kujiunga na CCM hiví sasa ni asilimia 52 ukilinganisha na asilimia 51 mwaka 2011. Wakati Chadema wakidai umaarufu wao umeshuka tokà asilimia 35 hadi 31. Na vile vile wanadai umaarufu wa Lowasa umepanda kwa asilimia 6!

Kwa utafiti huo naamini ni mkakati mahsusi kwa taasisi hiyó ikitumiwa na magsmba kuendelea kushusha umaarufu wa Chadema na mgombea kipenzí cha wengí Dr Slaa ili ifikapo 2014 wadai kuwa umaarufu wa Chadema umeshuka sana na mzee wa mamvi watatwambia keshamuovertake Dr Slaa!!

Huó ni mkakatí mahsusi wa synovate ukiratibiwa kwa karibu sana na magamba. Kwa hiyó waTZ hatuna budi kuishtukia synovate na kuihakikishia taasisi hiyó ya CCM kuwa ushindí wa kimbungà wa Dr Slaa mwaka 2015 hauwezi kuzuiwa kwa viganja vya synovate!!
 
Hata Marekani kwenye wapiga kura zaidi ya milioni 160, utafiti haujawahi kuhusisha zaidi ya watu 10,000. Tatizo ni kujua ni kwa staili ipi utafiti wenyewe umeendeshwa!! Synovate watueleze kama utafiti wao umekidhi vigezo vya kisayansi kufanya utafiti ambao unalalamikiwa.
 
Mkuu Regan Morgans, kama haya ni matokeo ya utafiti, sasa hii ya wewe kuuliza kama jee ni kweli, unamaana unamashaka na utafiti huu wa Synovate?.

Kwa kusaidia tuu, sio tuu ni kweli kabisa kuwa EL anaanza kukubalika zaidi, bali baadhi ya Watanzania wanaanza kuukubali ukweli kuwa EL ni jembe la ukweli!.

Haya maroroso tunayoyashuhudia katika kuporomoka kwa elimu yetu ni baadhi tuu ya matokeo ya serikali dhaifu ya JK kuitelekeza mipango ya EL na shule za kata ili kumkomoa, sasa imejikuta yenyewe ndio inakomoleka na kufikia 2015, EL atakuwa juu kabisa on top of the charts ili kufungua tuu njia na kunyoosha mapito ya "the chosen one!".

" Jiwe walilolikataa waashi, litafanywa kuwa jiwe kuu la pembeni!".

Yeye ndie ule mwamba wa Kaskazini unaozungumziwa kwenye maandiko mbalimbali kuwa
"Wewe ni mwamba, juu ya mwamba huu, nitalijenga taifa langu!".

Pasco.

Pasco u are wrong kutumia maandiko yanayomhusu mkombozi wa ulimwengu Kristo Yesu,
kwa mwanadamu Edward Lowasa"
 
Hivi mtu unawezaje kuandika habari yooooote hii, na kuweka asilimia zooote hizo, bila kutoa sample space ilikuwa vipi (watu wangapi, kutoka wapi etc) na methodology iliyotumika ( wamepewa questionnaires, wamepigiwa simu etc).

Gazeti lina mhariri hili?

Tutajuaje kama sample space si madarasa mawili ya shule moja ya sekondari yanayojumuisha wanafunzi waliojichokea na kujaza questionnaires randomly kama sehemu ya adhabu ya utovu wa nidhamu?

Mkuu Kiranga,
Unastaajabia ya Mwananchi unaacha kuyaona ya REPOA? Wanafanya research ambayo ni cross country na kuhusisha mikoa 26 na sample ya watu 2600 (mind you, wakati research hii ifanyika mid June mwaka jana, Tanzania ilikuwa na population ya 45m. Sasa assuming ukiondolea watoto na wale totally impaired ambao hawawezi kushiriki kuhojiwa ni 10m na tubaki na 35m, je, unaweza uka-draw conclusion kwa sample ya ratio ya 2600:35,000,000?

Tutafika tu 2015
 
Hawa wametumwa ili tu kutuondoa Watz kwenye hoja za msingi kama kujadili matokeo mabovu ya form 4, hali ya ulinzi na usalama na vitu vinavyogusa maslahi ya nchi, wakijua kabisa kuwa sisi wabongo ni watu wa kutuondoa kwenye hoja kwa kutuletea tu hoja mpya ili tuisahau hoja ya mwanzo...kyenzi kabisa hawa.....ptuuuuuu.....
Umenena vema mkuu,ikulu imewaagiza wafanye hivyo ili taharuki ya watanzania kuhusu matokeo mabovu ya kidatu cha nne isahaulike Mwananchi banaa mbona heshima inashuka???ninyi nyote ni wakenya si mkaandike na kutoa tafiti zenu kwenye uchaguzi wa kwenu???
 
Mkuu Kiranga,
Unastaajabia ya Mwananchi unaacha kuyaona ya REPOA? Wanafanya research ambayo ni cross country na kuhusisha mikoa 26 na sample ya watu 2600 (mind you, wakati research hii ifanyika mid June mwaka jana, Tanzania ilikuwa na population ya 45m. Sasa assuming ukiondolea watoto na wale totally impaired ambao hawawezi kushiriki kuhojiwa ni 10m na tubaki na 35m, je, unaweza uka-draw conclusion kwa sample ya ratio ya 2600:35,000,000?

Tutafika tu 2015
Ulitaka sample iwe ya watu wangapi ili uridhike kwamba inaakisi uhalisia??
 
Mkuu Regan Morgans, kama haya ni matokeo ya utafiti, sasa hii ya wewe kuuliza kama jee ni kweli, unamaana unamashaka na utafiti huu wa Synovate?.

Kwa kusaidia tuu, sio tuu ni kweli kabisa kuwa EL anaanza kukubalika zaidi, bali baadhi ya Watanzania wanaanza kuukubali ukweli kuwa EL ni jembe la ukweli!.

Haya maroroso tunayoyashuhudia katika kuporomoka kwa elimu yetu ni baadhi tuu ya matokeo ya serikali dhaifu ya JK kuitelekeza mipango ya EL na shule za kata ili kumkomoa, sasa imejikuta yenyewe ndio inakomoleka na kufikia 2015, EL atakuwa juu kabisa on top of the charts ili kufungua tuu njia na kunyoosha mapito ya "the chosen one!".

" Jiwe walilolikataa waashi, litafanywa kuwa jiwe kuu la pembeni!".

Yeye ndie ule mwamba wa Kaskazini unaozungumziwa kwenye maandiko mbalimbali kuwa
"Wewe ni mwamba, juu ya mwamba huu, nitalijenga taifa langu!".

Pasco.

mkuu pasco epukeni kuwaongopea watanzania kwa kufanya kampeni za chini ambazo azina ukweli wowote zaidi ya kubadilisha ukweli kuwa uongo na uongo kua ukweli.Mwambie lowasa atumie jik kujisafisha,jik yenye nikurudi kwa wananchi kumalizia kipolo alicho kiacha
1)kutuambia mmliki wa dowans ninani?
2)kwanini aliitwa gamba ndani ya ccm,alafu hakuchukua atua yeyote zaidi ya kukaa kimya.
3)kunakipi kinaendelea kati yake na kikwete hadi kufikia atua ya kutunishiana vifua na kuanza kuviziana?je sisi kama wananchi mnawezaje kutuaminisha kama nyinyi wasafi mpaka kufikia atua tukupeleke ikilu?
4)vipi kuhusu kauli ya baba wa taifa ya kwamba ikilu ni mahali patakatifu!au kutukuogope kama ukoma kwa jitihada zako za kukimbilia ikulu?au unahisi utawala mpya ukiingia amtokuwa salamaa<chadema>.
Baada ya kusema haya ingawa ninamaswali mengi zidi ya lowasa ila nasubilia mnijibu haya kwanza. Vp kuhusu mwakiembe yeye mbona simuoni?na migiro rose leo na yeye hakuusisha kwenye tasmini!
 
Ulitaka sample iwe ya watu wangapi ili uridhike kwamba inaakisi uhalisia??

Labda uje kwa PM tujadiliane kwanza kwa mapana na marefu huku tukirejea akina Kothari, Ramachandrani, Babbie na wengineo wanazungumzaje juu ya hii kitu. Hapa tutakuja kuishia kuwapa watu faida waanze kuuliza wasifu(CV) zetu bure, wengine siri zetu za kusomea A - Level Mpwawa TTC zikagundulika
 
hizi nazo kama matokeo ya form 4 2012, yaani na Lipumba bado anapewa asilimia!??
 
Back
Top Bottom