Sabung'ori
JF-Expert Member
- Jul 19, 2011
- 2,166
- 1,248
...kila ninapopata bahati ya kuisoma taarifa ya utafiti uliofanywa Synovate,huo napata tabu sana kuutofautisha utafiti wao na utabiri wa marehem Shekhi Yahaya...
Pasco Lowasa hawezi kuwa na majibu ya matatizo ya tanzania ya sasa labda asiwe mwanaCCM! Mgombea yoyote wa CCM hafai kuongoza hili taifa kuanzia 2015! Synovate huwa inatumiwa kisiasa, na wanaendelea na kazi yao ya kutumika! Wameshindwa kumuondoa Dr. Slaa kwenye mioyo ya watanzania sasa wanatumia tafiti mufilisi kuwaaminisha watanzania kuwa eti sasa Dr. Slaa hakubaliki!Mkuu Regan Morgans, kama haya ni matokeo ya utafiti, sasa hii ya wewe kuuliza kama jee ni kweli, unamaana unamashaka na utafiti huu wa Synovate?.
Kwa kusaidia tuu, sio tuu ni kweli kabisa kuwa EL anaanza kukubalika zaidi, bali baadhi ya Watanzania wanaanza kuukubali ukweli kuwa EL ni jembe la ukweli!.
Haya maroroso tunayoyashuhudia katika kuporomoka kwa elimu yetu ni baadhi tuu ya matokeo ya serikali dhaifu ya JK kuitelekeza mipango ya EL na shule za kata ili kumkomoa, sasa imejikuta yenyewe ndio inakomoleka na kufikia 2015, EL atakuwa juu kabisa on top of the charts ili kufungua tuu njia na kunyoosha mapito ya "the chosen one!".
" Jiwe walilolikataa waashi, litafanywa kuwa jiwe kuu la pembeni!".
Yeye ndie ule mwamba wa Kaskazini unaozungumziwa kwenye maandiko mbalimbali kuwa
"Wewe ni mwamba, juu ya mwamba huu, nitalijenga taifa langu!".
Pasco.
2013 hii,na kadiri tunavyokaribia 2015 watakuja na mfululizo wao wa tafiti unaoonyesha EL anazidi kukubalika kadiri 2015 inavyokaribia,mjini mipango bwana.utafiti unaonyesha kuwa Lowassa anazid kukubalika kadri ya siku zinavyozd kwenda. JE HII NI KWELI?
Ongera Dr. endelea kukaza buti.
mimi nadhani haya ni maoni binafsi ya mhariri hayana chembe ya ukweli
Mbona inaonekana umaarufu wa Dr. Slaa umeporomoka kutoka 42% hadi 17%? Hii inaashiria nini? Watu wamemchoka au wameichoka CHADEMA? Umaarufu wa CHADEMA nao umeshuka! Inaonekana kama kuna negative correlation kati ya M4C na umaarufu wa CHADEMA.
Mkuu Ritz umeamka?
Pasco Lowasa hawezi kuwa na majibu ya matatizo ya tanzania ya sasa labda asiwe mwanaCCM! Mgombea yoyote wa CCM hafai kuongoza hili taifa kuanzia 2015! Synovate huwa inatumiwa kisiasa, na wanaendelea na kazi yao ya kutumika! Wameshindwa kumuondoa Dr. Slaa kwenye mioyo ya watanzania sasa wanatumia tafiti mufilisi kuwaaminisha watanzania kuwa eti sasa Dr. Slaa hakubaliki!