Synovate: Vinara tisa urais 2015

Synovate: Vinara tisa urais 2015

Ungekuwa mwanamke ningekuita sinta au wema. Unatafuta uzungumziwe tu
 
Leo nimeonekana chizi maana nimecheka kwa nguvu peke yangu kweli lakin tuweke utani pembeni huyu jamaa sio mziima hahahahhahahahah
 
Baadhi ya walimu wana matatizo na yule mgombea urais wa Kenya bwana Dida nae ni mwalimu
 
Mi nawaomba JF waanze kuchunguza account ya bwana DEOGRATIUS KISANDU uwenda kukawa na hackers wanatumia bila ruhusa yake,"maana si bure kwa mtu mwenye akili timam kupost kitu kama hicho" :nono:
 
Jamani mie natumia simu ya mchina wenye top 2saidieni! hiyo ID ni verified? au kuna raia anaitumia kumchafua dogo make hainiingii akilini kiekwel!!
 
Baadhi ya walimu wana matatizo na yule mgombea urais wa Kenya bwana Dida nae ni mwalimu
kiongozi kumbuka hata Nyerere alikuwa ni mwalimu. Ila huyu Mwalimu Deogratius Kisandu sasa inatosha anafikiri ni utafiti wa CWT.
 
Hivi mtu unawezaje kuandika habari yooooote hii, na kuweka asilimia zooote hizo, bila kutoa sample space ilikuwa vipi (watu wangapi, kutoka wapi etc) na methodology iliyotumika ( wamepewa questionnaires, wamepigiwa simu etc).

Gazeti lina mhariri hili?

Tutajuaje kama sample space si madarasa mawili ya shule moja ya sekondari yanayojumuisha wanafunzi waliojichokea na kujaza questionnaires randomly kama sehemu ya adhabu ya utovu wa nidhamu?

elim zenu izo ndio nyinyi vilaza mnataka kila kitu mezan!
 
Utafiti huu hauna togauti na U tabiri wa Shekhe Yahaya, hivyo kwa yule mwenye akiri ataupuuza ila kwa yule mshabiki ataendelea kuushabikia. Haijawahi kutokea kuwa na utafiti hambao hauna Sample au dodoso hivyo ni saw tu na ule aliokuwa anaufanya Shekhe Yahaya maana ulikua ni wamaoni yake binafsi.

Unaambiwa "utafiti" lakini hauna hata margin of error.

Na watu wanau gobble up tu.

SMH.
 
Leo nimeonekana chizi maana nimecheka kwa nguvu peke yangu kweli lakin tuweke utani pembeni huyu jamaa sio mziima hahahahhahahahah


Kuna haja katiba mpya ikaweka bayana sifa za mtu kugombea uraisi vinginevyo tutakuja kuingia mkenge.
 
elim zenu izo ndio nyinyi vilaza mnataka kila kitu mezan!

"Izo" ni kitu gani?

Unataka kuongelea elimu wewe? Ungejua lolote kuhusu elimu ungejua utafiti bila sample space, methodology na margin of error ni hadithi tu.

Hivi si vitu vipya useme hamna standards. Gallup has been doing this for over 77 years.

Judging from your comment I doubt you even know what Gallup is.
 
Unaambiwa "utafiti" lakini hauna hata margin of error.

Na watu wanau gobble up tu.

SMH.
Maybe gazeti ndio lilinukuu vibaya (I haven't seen the article)
Ila ripoti kamili. Whether ipo sahihi ni maoni yangu, but ni kamili
 
Ana matatizo ya ubongo. Sijui Mbatia alifikiri nini kumpa uongozi!

Hata mimi nikifikiria Machali anavyoropoka kama msemeji wa chama ni hili la huyu nakua na wasi wasi na uwelewa wa mwenyekiti katika kuwapa vyeo vijana wake.
 
Hivi mtu unawezaje kuandika habari yooooote hii, na kuweka asilimia zooote hizo, bila kutoa sample space ilikuwa vipi (watu wangapi, kutoka wapi etc) na methodology iliyotumika ( wamepewa questionnaires, wamepigiwa simu etc).

Gazeti lina mhariri hili?

Tutajuaje kama sample space si madarasa mawili ya shule moja ya sekondari yanayojumuisha wanafunzi waliojichokea na kujaza questionnaires randomly kama sehemu ya adhabu ya utovu wa nidhamu?

una maananisha hizi sekondari ambazo wanafunzi wamepata zero karibu wote???
 
Little Games ! Who are synovate,what do they stand for !
What I think the just tryin to pave a way for someone there........
Be smart guys
 
Maybe gazeti ndio lilinukuu vibaya (I haven't seen the article)
Ila ripoti kamili. Whether ipo sahihi ni maoni yangu, but ni kamili

Habari ya gazeti haijakamilika. Gazeti ni kama halina mhariri na muandishi ana "Pass" ya division four ya mkia isiyo na utashi (kuna nyingine zina utashi).

Ripoti unayoisema ni kamili iko wapi?
 
Back
Top Bottom