SYNOVATE & REDET 'kupika' taarifa ya hali ya kisiasa nchini

Safi sana, hii ndio inatakiwa kwa kila mzalendo kumwaga mipango ya hila za watawala zikiwa bado jikoni zinapikwa.
 
Dawa yao ni kuwavua nguo hadharani tu mpaka wapate aibu, mchakamchaka mpaka wakimbie nchi.
 
si ajabu kulisikia hili,,, ninajua akili zao ni finyu kiasi cha kuwaza kuwa utafiti huo utawashawishi wananchi pamoja na mataifa ya nje.... kimsingi hata hao wafadhili wanaopolekewa hizo report wanaona matukio yanayotokea tz kupia vyombo vya habari na balozi zao nchini. na kama kweli hao wahisani watakubaliana na ripoti za hizi taasisi uchwara (kama watafanya utafiti wao) basi na wao hawana tofauti na serikali ya mh dhaifu.
 
Taarifa nilizozipata kutoka Idara ya Mawasiliano(Somewhere) inaeleza kuwa Serikali imejipanga kujisafisha na kashfa za mchafuko wa hali ya kisiasa na ukiukwaji mkubwa wa haki za Binaadam uliofanywa na Polisi hivi karibuni katika mikoa ya Morogoro na Iringa.
Mkakati huo ni kuwa,Taasisi hizo mbili zitafanya utafiti na baadaye kutoa majibu ya kuisafisha serikali kama vile;
1. Ripoti itaonyesha kuwa Hali ya amani ya Taifa ni zaidi ya 98% (Kulingana na vyombo vya usalama na baadhi ya Raia watakaohojiwa)
2. Ripoti yao itaonyesha kuwa bado watanzania wengi wana imani na Serikali iliyopo kwa zaidi ya 90%
3. Ripoti itaonyesha kuwa bado wananchi wana imani na wanaonyesha ushirikiano na kwa Jeshi la Polisi kwa zaidi ya 88%
4. Ripoti itaonyesha kuwa chama cha Mapinduzi bado kinapendwa na wananchi wengi walio vijijini kwa 95% huku mijini Chama hicho kikikubalika kwa 85%
5. Ripoti hiyo itaonyesha kuwa Wananchi wengi bado wanamkubali Rais Kikwete kwa 91% dhidi ya Katibu mkuu wa CHADEMA Mhe.Dr.Slaa ambaye ataambulia 9% tu.
Ripoti hiyo itagusia pia masuala ya uwajibikaji wa wabunge na bunge kwa ujumla, kupungua kwa hali ya rushwa nchini;NK.

Ripoti hizo zitatolewa na kupelekwa hata kwa nchi wafadhili kwa lengo la kuwahakikishia kuwa bado Tanzania iko salama na Amani ya kudumu bado ipo.

My take:
Hizi taasisi zikikubali kutekeleza 'Mkakati' huo zitakuwa zimepoteza credibillity ya kuitwa taasisi.

vp?serikali haijajipanga kutoa report ya nani aliemuua chacha wangwe?
 
Mkuu Mallya ahsante kwa taarfa ila hebu niweke waz Jk anakublka kwa asilimia 91 dhidi ya dr. Slaa 40% kimahesabu napata utata! Hebu sahsha habar yako sehmu nyng 2!

hata mimi najiuliza,
inamaanisha redet walimpambanisha jk na slaa pekee?wapi akina lipumba, dovutwa,hashim rungwe,?
Angesema slaa atapata 8% remaining 1 % wanagimbania wengine tungemwelewa..!
 
You can cheat some people for sometime, not all the people all the time. Bob Marley
 
Taarifa nilizozipata kutoka Idara ya Mawasiliano(Somewhere) inaeleza kuwa Serikali imejipanga kujisafisha na kashfa za mchafuko wa hali ya kisiasa na ukiukwaji mkubwa wa haki za Binaadam uliofanywa na Polisi hivi karibuni katika mikoa ya Morogoro na Iringa.
Mkakati huo ni kuwa,Taasisi hizo mbili zitafanya utafiti na baadaye kutoa majibu ya kuisafisha serikali kama vile;
1. Ripoti itaonyesha kuwa Hali ya amani ya Taifa ni zaidi ya 98% (Kulingana na vyombo vya usalama na baadhi ya Raia watakaohojiwa)
2. Ripoti yao itaonyesha kuwa bado watanzania wengi wana imani na Serikali iliyopo kwa zaidi ya 90%
3. Ripoti itaonyesha kuwa bado wananchi wana imani na wanaonyesha ushirikiano na kwa Jeshi la Polisi kwa zaidi ya 88%
4. Ripoti itaonyesha kuwa chama cha Mapinduzi bado kinapendwa na wananchi wengi walio vijijini kwa 95% huku mijini Chama hicho kikikubalika kwa 85%
5. Ripoti hiyo itaonyesha kuwa Wananchi wengi bado wanamkubali Rais Kikwete kwa 91% dhidi ya Katibu mkuu wa CHADEMA Mhe.Dr.Slaa ambaye ataambulia 9% tu.
Ripoti hiyo itagusia pia masuala ya uwajibikaji wa wabunge na bunge kwa ujumla, kupungua kwa hali ya rushwa nchini;NK.

Ripoti hizo zitatolewa na kupelekwa hata kwa nchi wafadhili kwa lengo la kuwahakikishia kuwa bado Tanzania iko salama na Amani ya kudumu bado ipo.

My take:
Hizi taasisi zikikubali kutekeleza 'Mkakati' huo zitakuwa zimepoteza credibillity ya kuitwa taasisi.
inaonesha wewe ulikua unaziamini hizi taasisi siku za nyuma,,,,pole sana
 
Mkuu Mallya ahsante kwa taarfa ila hebu niweke waz Jk anakublka kwa asilimia 91 dhidi ya dr. Slaa 40% kimahesabu napata utata! Hebu sahsha habar yako sehmu nyng 2!

MKUU darasa la hesabu ulikimbia, au? ANGALIA namba 5 katika thread ya MALLYA, amesema JK 91% na DR SLAA 9%, wewe hiyo 40% UMEITOA WAPI? Jifunze kusoma vizuri
 
Hizo tafiti ni nzuri sana kwa Viongozi wa CCM maana ndicho wanataka kukiona. Tuliambiwa 2010 JK angeshinda kwa %? na alipata %?. Hizo taasisi zinaongozwa na wasomi ambao nina wasiwasi na Vyeti vyao au Tamaa ya maisha inawafanya kusaliti taaluma zao.
Ukweli upo wazi, Bila Magari ya kusomba watu, Fulana, Kofia, Kanga,Skafu, Posho, Diamond na nk hakuna atakayehudhulia mikutano ya CCM.
Imani na Jeshi la Police: Kipimo ni Ajari na Ujambazi zinatosha kuumbua hizo Takwimu feki
Kuwa na Imani au kupendwa JK - Asingepigwa mawe Mbeya na msafara wake usingekuwa unakimbizwa kama Ambulance
Imani na Serikali ya CCM - Migomo ya Madaktari, Walimu, Wafanyakazi, Mapigano ya wakulima na wafugaji kila kona ya nchi
 
MKUU darasa la hesabu ulikimbia, au? ANGALIA namba 5 katika thread ya MALLYA, amesema JK 91% na DR SLAA 9%, wewe hiyo 40% UMEITOA WAPI? Jifunze kusoma vizuri

Ume quote bila kusoma habari yenyewe niliyoandika.. Take it from me
 
Redet mdau mkuu ni Rwekaza mukandala (achilia mbali ben bana), synovate ni wakenya (alikuwepo mswahili mmoja advocate Julius Ndyanabo RIP, baada ya kifo chake sijui hisa zake zimeenda wapi...so wamebaki wakenya pale).
Unategemea nini hapo!
 
Hizo tasisi zishapoteza credibility na Bansen bana wao mda mrefu.

Sintashangaa kama kweli taasisi hizi zitakuja na report ya namna ulionyesha kwani taasisi hizi zinaongozwa na sycophamts wa magamba; Mukandala alipewa zawadi ya kuwa vice chancellor kwa kazi kama hiyo hapo awali!!
 
HIZO TAASISI ZILICHOKWA SIKU Nyingi,hazina mvuto machoni pa wengi.MSOMI AMBAYE NI MVIVU WA KUFIKIRI ANA AKILI YA MAITI.TUMAINI JIPYA LA UHURU UHURU WA KWELI NA MAENDELEO YA KWELI LIKARIBU KUSHIKA DOLA.HILA YOYOTE ILE ITASABABISHA AKINA Golirian kuchukua dola.
 
Back
Top Bottom