Deus F Mallya
JF-Expert Member
- Jul 28, 2011
- 705
- 440
Taarifa nilizozipata kutoka Idara ya Mawasiliano(Somewhere) inaeleza kuwa Serikali imejipanga kujisafisha na kashfa za mchafuko wa hali ya kisiasa na ukiukwaji mkubwa wa haki za Binaadam uliofanywa na Polisi hivi karibuni katika mikoa ya Morogoro na Iringa.
Mkakati huo ni kuwa,Taasisi hizo mbili zitafanya utafiti na baadaye kutoa majibu ya kuisafisha serikali kama vile;
1. Ripoti itaonyesha kuwa Hali ya amani ya Taifa ni zaidi ya 98% (Kulingana na vyombo vya usalama na baadhi ya Raia watakaohojiwa)
2. Ripoti yao itaonyesha kuwa bado watanzania wengi wana imani na Serikali iliyopo kwa zaidi ya 90%
3. Ripoti itaonyesha kuwa bado wananchi wana imani na wanaonyesha ushirikiano na kwa Jeshi la Polisi kwa zaidi ya 88%
4. Ripoti itaonyesha kuwa chama cha Mapinduzi bado kinapendwa na wananchi wengi walio vijijini kwa 95% huku mijini Chama hicho kikikubalika kwa 85%
5. Ripoti hiyo itaonyesha kuwa Wananchi wengi bado wanamkubali Rais Kikwete kwa 91% dhidi ya Katibu mkuu wa CHADEMA Mhe.Dr.Slaa ambaye ataambulia 9% tu.
Ripoti hiyo itagusia pia masuala ya uwajibikaji wa wabunge na bunge kwa ujumla, kupungua kwa hali ya rushwa nchini;NK.
Ripoti hizo zitatolewa na kupelekwa hata kwa nchi wafadhili kwa lengo la kuwahakikishia kuwa bado Tanzania iko salama na Amani ya kudumu bado ipo.
My take:
Hizi taasisi zikikubali kutekeleza 'Mkakati' huo zitakuwa zimepoteza credibillity ya kuitwa taasisi.
Mkakati huo ni kuwa,Taasisi hizo mbili zitafanya utafiti na baadaye kutoa majibu ya kuisafisha serikali kama vile;
1. Ripoti itaonyesha kuwa Hali ya amani ya Taifa ni zaidi ya 98% (Kulingana na vyombo vya usalama na baadhi ya Raia watakaohojiwa)
2. Ripoti yao itaonyesha kuwa bado watanzania wengi wana imani na Serikali iliyopo kwa zaidi ya 90%
3. Ripoti itaonyesha kuwa bado wananchi wana imani na wanaonyesha ushirikiano na kwa Jeshi la Polisi kwa zaidi ya 88%
4. Ripoti itaonyesha kuwa chama cha Mapinduzi bado kinapendwa na wananchi wengi walio vijijini kwa 95% huku mijini Chama hicho kikikubalika kwa 85%
5. Ripoti hiyo itaonyesha kuwa Wananchi wengi bado wanamkubali Rais Kikwete kwa 91% dhidi ya Katibu mkuu wa CHADEMA Mhe.Dr.Slaa ambaye ataambulia 9% tu.
Ripoti hiyo itagusia pia masuala ya uwajibikaji wa wabunge na bunge kwa ujumla, kupungua kwa hali ya rushwa nchini;NK.
Ripoti hizo zitatolewa na kupelekwa hata kwa nchi wafadhili kwa lengo la kuwahakikishia kuwa bado Tanzania iko salama na Amani ya kudumu bado ipo.
My take:
Hizi taasisi zikikubali kutekeleza 'Mkakati' huo zitakuwa zimepoteza credibillity ya kuitwa taasisi.