simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,694
- 9,580
Symbion deal versus China mchuchuma coal fired power plant deal www.miningreview.com | Chinese to invest in Tanzanian iron ore and coal which is Tanzanian friendly?
Tunachotaka ni balbu kuwaka, wawe intellijensia au sijui nani, lakini balbu zikiwaka si zimewaka?......
Ambassador Joseh Wison - siyo ambaye wakati wa Iraq war ilipoanza aliandika ripoti iliyoumbua serikali ya George W Bush kuhusu madai yao ya uranium in Niger? Baadae serikali ya Dubya ilijibu mapigo kwa kufichua kuwa mke wake Wilson ni CIA agent. Kumradhi kama nimekosea ....
Ukisoma kitabu cha 'The Economic Hitman' by John Perkins
Utapata a clue on how the US is controling the world economy especially the countries with rich natural resources
Wanaanza kwa kuja na kampuni za umeme
Alafu wanakuletea forecasts zao jinsi gani nchi itafaidika from a massive energy investment they are planning to make
At the end mnasaini mikataba ya kunyonywa. Ukikataa wanakuua (they Kill the President or any one opposing) ukitaka kujua how nenda ukasome.
Its a very interesting book.
Kwa nini wastaafu wetu hawaingii kwenye fani kama hizi na wao?
Ambassador Joseh Wison - siyo ambaye wakati wa Iraq war ilipoanza aliandika ripoti iliyoumbua serikali ya George W Bush kuhusu madai yao ya uranium in Niger? Baadae serikali ya Dubya ilijibu mapigo kwa kufichua kuwa mke wake Wilson ni CIA agent. Kumradhi kama nimekosea ...
Kwanza huyu Lord Richard Westbury ni Mwingereza lakini he has had a very colourful career kama ambavyo profile yake ya kule Symbion inavyosema:
![]()
Chairman Symbion Power Holdings
Lord Richard Westbury MBE
Lord Westbury had a distinguished military career as an Officer in the Scotts Guards and for the British Special Air Services (SAS). A pioneer of the security industry, Lord Westbury was formerly the Deputy Chief Executive of The Leadership Trust and the Chief Executive Officer of Defense Systems Limited (DSL), one of the earliest and most successful international security companies headquartered in London. He is the founder and chairman of Hart Security.
Chief Executive OfficerHart
Sasa tunamove on kwa no 2 :
Paul Hinks
![]()
Founder Paul Hinks is the driving force behind the company. He has spent his life in the power industry where he has been responsible for the construction of power plants, transmission lines and substations. His career spans 30 years and in that period, he has worked in the USA, Africa, the Middle East and Asia. Since 2003Paul has been at the forefront of US wartime contracting efforts. Paul is a member of the Bretton Woods Committee and serves on the Board of Directors of the Corporate Council on Africa.
Lakini the most interesting of them all ni huyu....na hasa baada ya kuona jina lake nikajiuliza inamaana Valerie Palme alikuwa Dar jana?
![]()
Chairman, Symbion Power Africa
Ambassador (ret.) Joseph Wilson
Ambassador (ret.) Joseph Wilson serves as the Chairman of Symbion Power, Africa. Ambassador Wilson has extensive experience in Africa, the Middle East, and Europe. As an American diplomat, he served as Ambassador to Gabon and Sao Tome and Principe in the administrations of Presidents George H.W. Bush and Bill Clinton. He also served as Special Assistant to President Clinton in charge of African Affairs at the national Security Council. In addition to Gabon and Sao Tome and Principe, Ambassador Wilson also served in Niger, Togo, South Africa, Burundi, and Congo (Brazzaville).
Hiyo ndio Profile iliopo Public lakini ukweli ni kuwa :
Jamaa ndio yulee wa ile YELLOW CAKE ya NIGER kama mnakumbuka in the run up to Iraq war enzi za Bush.....
Joseph Charles Wilson IV (born November 6, 1949) is a former United States diplomat best known for his 2002 trip to Niger to investigate allegations thatSaddam Hussein was attempting to purchase yellowcake uranium; his New York Times op ed piece, "What I Didn't Find in Africa";[SUP][1][/SUP] and the subsequent "outing" of his wife Valerie Plame as a CIA agent.He is the CEO of his own consulting firm, JC Wilson International Ventures. In January 2007, Wilson joined Jarch Capital, LLC, as vice chairman.
Joseph C. Wilson - Wikipedia, the free encyclopedia
Ukitaka kuenjoy zaidi soma hiki kitabu :
![]()
then tazama hii movie ya Sean Penn...mkitaka download links semeni tuu
![]()
So technically Mwanaidi alichokifanya ni kutuletea watu ambao I'm sure Lowassa na Rostam hawawezi maana hawa jamaa ni ligi nyingine kabisaaaaaa
That said, sioni taabu kwa nini wasitatue tatizo letu la umeme...kama sheria za nchi zimefuatwa
Habari ndio hizo