Symbion Power: Intelligence watupu

Hii ndio maana halisi ya usalama wa taifa..Director wa TISS na especially Mkuu wa kitengo cha economic espionage haya ndio mambo wangehitajika kuyafanya......kuwekeza hisa kwenye makampuni yote ambayo kimkakati yanaadhri usalama wa taifa ie secta ya nishati ....ndicho wafanyachoo CIA.
Ukiacha miradi nichache ambayo Mwalimu aliwafungulia TISS...kama motel Afrique,Seventy seven etc ,...na baadhi ya hotel au nyumba zilizo nje ya nchi kwa ajili ya TISS....tunahitaji kuwa na miradi mikubwa na ya kimkakati ...miaka ya karibuni Seventy seven walitaka kugawia Impala hotel ...Mzee mkapa Baada ya kushauriana na wakongwe wa TISS akabatilisha.."...JK amekuja Anampa rafik yake ....au mwanahisa mwenzake .....hatujui Kama Idara itabaki na hisa hapo au ndio wameporwa hotel Yao ..
 
Hii ndio maana halisi ya usalama wa taifa..Director wa TISS na especially Mkuu wa kitengo cha economic espionage haya ndio mambo wangehitajika kuyafanya......kuwekeza hisa kwenye makampuni yote ambayo kimkakati yanaadhri usalama wa taifa ie secta ya nishati ....ndicho wafanyachoo CIA.
Ukiacha miradi nichache ambayo Mwalimu aliwafungulia TISS...kama motel Afrique,Seventy seven etc ,...na baadhi ya hotel au nyumba zilizo nje ya nchi kwa ajili ya TISS....tunahitaji kuwa na miradi mikubwa na ya kimkakati ...miaka ya karibuni Seventy seven walitaka kugawia Impala hotel ...Mzee mkapa Baada ya kushauriana na wakongwe wa TISS akabatilisha.."...JK amekuja Anampa rafik yake ....au mwanahisa mwenzake .....hatujui Kama Idara itabaki na hisa hapo au ndio wameporwa hotel Yao ..

Tulitakiwa tuwe na hisa Symbion, Hyatt Kilimanjaro Hotel, pamoja na kampuni kama tatu hivi kule mbugani. Hatukufanya hivyo na itatugharim sana.
 
Mbona iko wazi, NGO zote za wamarekani wanatupeleza tu, wanatujua kuliko tunavyojifahanu sisi......kwa wanaofanya nao kazi utakuta wazungu wanaifahamu tanzania zaidi ya watanzania wenyewe, na husikii kaondoka lini kwendw huko mikoani, ila utakuta ana vielelezo kibao..................TISS tunahangaika na CDM, mali za nchi zinaibiwa
 
Safi sana. Ili mradi watuletee umeme kwa bei nzuri hata wangekua intelijensia wa kutoka nchi gani waje tu, intelijensia yetu (kama ipo) basi na itakumbana nao ktk mambo mengine.

Mkuu intelijensia yetu iko kwa mambo ya kugandamiza vyama vya upinzani kisiasa kwa ccm tu sio kung'amua mambo makubwa na ya msingi kama haya.Usitegemee lolote!
 
Kwanza huyu Lord Richard Westbury ni Mwingereza lakini he has had a very colourful career kama ambavyo profile yake ya kule Symbion inavyosema:

richard-westbury.jpg


Chairman Symbion Power Holdings

Lord Richard Westbury MBE
Lord Westbury had a distinguished military career as an Officer in the Scotts Guards and for the British Special Air Services (SAS). A pioneer of the security industry, Lord Westbury was formerly the Deputy Chief Executive of The Leadership Trust and the Chief Executive Officer of Defense Systems Limited (DSL), one of the earliest and most successful international security companies headquartered in London. He is the founder and chairman of Hart Security.

Chief Executive Officerhttp://www.hartsecurity.com/aboutus_whoweare.asp

Sasa tunamove on kwa no 2 :

Paul Hinks

paul-hinks.jpg


Founder Paul Hinks is the driving force behind the company. He has spent his life in the power industry where he has been responsible for the construction of power plants, transmission lines and substations. His career spans 30 years and in that period, he has worked in the USA, Africa, the Middle East and Asia. Since 2003Paul has been at the forefront of US wartime contracting efforts. Paul is a member of the Bretton Woods Committee and serves on the Board of Directors of the Corporate Council on Africa.



Lakini the most interesting of them all ni huyu....na hasa baada ya kuona jina lake nikajiuliza inamaana Valerie Palme alikuwa Dar jana?

joseph-wilson.jpg


Chairman, Symbion Power Africa

Ambassador (ret.) Joseph Wilson
Ambassador (ret.) Joseph Wilson serves as the Chairman of Symbion Power, Africa. Ambassador Wilson has extensive experience in Africa, the Middle East, and Europe. As an American diplomat, he served as Ambassador to Gabon and Sao Tome and Principe in the administrations of Presidents George H.W. Bush and Bill Clinton. He also served as Special Assistant to President Clinton in charge of African Affairs at the national Security Council. In addition to Gabon and Sao Tome and Principe, Ambassador Wilson also served in Niger, Togo, South Africa, Burundi, and Congo (Brazzaville).

Hiyo ndio Profile iliopo Public lakini ukweli ni kuwa :

Jamaa ndio yulee wa ile YELLOW CAKE ya NIGER kama mnakumbuka in the run up to Iraq war enzi za Bush.....

Joseph Charles Wilson IV (born November 6, 1949) is a former United States diplomat best known for his 2002 trip to
Niger to investigate allegations thatSaddam Hussein was attempting to purchase yellowcake uranium; his New York Times op ed piece, "What I Didn't Find in Africa";[SUP][1][/SUP] and the subsequent "outing" of his wife Valerie Plame as a CIA agent.He is the CEO of his own consulting firm, JC Wilson International Ventures. In January 2007, Wilson joined Jarch Capital, LLC, as vice chairman.
Joseph C. Wilson - Wikipedia, the free encyclopedia

Ukitaka kuenjoy zaidi soma hiki kitabu :

28246262.jpg



then tazama hii movie ya Sean Penn...mkitaka download links semeni tuu

Fair-Game-poster.jpg





So technically Mwanaidi alichokifanya ni kutuletea watu ambao I'm sure Lowassa na Rostam hawawezi maana hawa jamaa ni ligi nyingine kabisaaaaaa

That said, sioni taabu kwa nini wasitatue tatizo letu la umeme...kama sheria za nchi zimefuatwa

Habari ndio hizo




sasa naamini kuwa yaliyotokea MTWARA si bure
 
Last edited by a moderator:
Nchi na vyote vijazavyo ni mali ya Bwana.Ila Tz km tumelaaniwa vile hakuna tunachoweza.
 
Kazi ya CCM hiyo kwani hawajui nini wanakifanya na hasa ktk swala zima la usalama wa taifa cha msingi kuna 10% wako tayari kuuza utu
 
Ukisoma kitabu cha 'The Economic Hitman' by John Perkins

Utapata a clue on how the US is controling the world economy especially the countries with rich natural resources

Wanaanza kwa kuja na kampuni za umeme

Alafu wanakuletea forecasts zao jinsi gani nchi itafaidika from a massive energy investment they are planning to make

At the end mnasaini mikataba ya kunyonywa. Ukikataa wanakuua (they Kill the President or any one opposing) ukitaka kujua how nenda ukasome.

Its a very interesting book.

Leo hii mnashangilia ujio wa Obama kama mazuzu! Wamarekani siku zote wako wazi Hawana adui wa kudumu wala rafiki wa kudumu, la muhimu kwao ni maslahi yao. Leo tunawakaribisha na kuwahakikishia maslahi makubwa ya kiuchumi, kesho watalazimisha maslahi ya ushoga na kadhalika, mtapinga? Wana uwezo wa kuiba kibabe sembuse hivi tunavyojiuza wenyewe kama madada poa wa mjini! Disgusting!
 
BondJamesBond nipe iyo link download

yani nawachukia wazungu hapana aiseee

kaka Aza,ni bora hao wazungu you can easily trace them kutokana na kuwa na distinguishing features,kuliko C.I.A ambao ni watz wenzio wenye ngozi nyeusi kama yako unaoweza kuwapa nyadhifa muhimu serikalini.hao ndio unapaswa kuwaogopa kama ukoma!
 
Last edited by a moderator:
wote tu ni tatizo,kweli mkoloni mweusi ndo mbaya zaidi juve2012
ila wazungu sijawai waamini haisrani na ss wanavogongana vikumbo tz
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom